DMDP angazieni maeneo ya pembezoni mwa jiji haswa maeneo ya Kiluvya Gogoni katika wilaya ya Ubungo Jimbo la kibamba, Barbara katika maeneo hayo ni mbaya sana!
Tafadhali uongozi wa DMDP boresheni maeneo hayo kwani miundombinu ni mibovu, geukieni maeneo hayo.
Tafadhali uongozi wa DMDP boresheni maeneo hayo kwani miundombinu ni mibovu, geukieni maeneo hayo.