Yaan inauma sana mtu kama m kafulila moja ya watu aliyefichua sakata la ESCROW anapigwa chini araf waliokutwa na hatia wanapita hv hv yaan tena mtu anakwambia vijisenti vya mboga
WATANZANIA tuna nini vichwani
Eti watu kama kafulila na wenje na mkosamali wanapigwa chini halafu bungeni wanaenda wakina nape na lusinde 😠. Upumbavu na Ujuha wenye kiwango cha PhD