Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Signature lako ni self explanatory kwa ujuha wako,unalalamikia mafisadi jinsi wanavyopiga deal na kufisadi nchi lakini kutwa nzima humu kutetea hao mbuzi,hujitambui wewe kaa kimya tuu
Tatizo lako hufahamu kwa nini opposition siwafagilii. EL ni mwizi na tulikuwa tunampinga tangu JF ilipoanzishwa. Mbowe ndio kauza chama ni heri Pombe aje kuyafagia huo ndio mpango mzima. Hujui kitu wewe mfuata upepo unayeponea rehema za pesa za wakimbizi leo ati unataka kuja kutufundisha demokrasi. Grow up.