Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,934
Ni wiki sasa kila siku ninakuwa na safari ya nenda rudi Temeke to Mvuti kwenda kuangalia maendeleo ya kibanda changu kinachojengwa huko. Barabara kuu imejaa vibao vya makanisa kuliko vibao vya shule na vyuo.
Je, sasa Tanzania tunahitaji huduma za kiroho zaidi kuliko huduma za elimu na afya?
Je, sasa Tanzania tunahitaji huduma za kiroho zaidi kuliko huduma za elimu na afya?