Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
- Thread starter
- #21
Nasikia huko kwenu Mbeya humalizi mita 200 bila kukutana na nyumba ya Mungu!
Nasikia huko kwenu Mbeya humalizi mita 200 bila kukutana na nyumba ya Mungu!
Ni wiki sasa kila siku ninakuwa na safari ya nenda rudi Temeke to Mvuti kwenda kuangalia maendeleo ya kibanda changu kinachojengwa huko. Barabara kuu imejaa vibao vya makanisa kuliko vibao vya shule na vyuo.
Je, sasa Tanzania tunahitaji huduma za kiroho zaidi kuliko huduma za elimu na afya?
Asante kwa comment nzuriUmesahau lengo la kuishi ni kumuomba Mungu na kusifu tu...hayo mengine nyongeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi navyojua bar ni nyingi kuliko hayo makanisa unayosema,ila umeona bar ni sawa kuwepo ila siyo makanisa. Basi sawa tutakutana Mbiguni kwa Baba utuelezee vizuri hiyo theory yako mkuuNi wiki sasa kila siku ninakuwa na safari ya nenda rudi Temeke to Mvuti kwenda kuangalia maendeleo ya kibanda changu kinachojengwa huko. Barabara kuu imejaa vibao vya makanisa kuliko vibao vya shule na vyuo.
Je, sasa Tanzania tunahitaji huduma za kiroho zaidi kuliko huduma za elimu na afya?
Hilo si kwa sasaUmesahau lengo la kuishi ni kumuomba Mungu na kusifu tu...hayo mengine nyongeza.
Sent using Jamii Forums mobile app