Dar es Salaam: Mahakama Kuu yakataa maombi ya Tundu Lissu ya kutengua maamuzi ya Spika. Jaji asema itasababisha mgogoro Kikatiba na Bunge

Watu wamesha sema sana kuwa Lissu sio mwanasheria mbobeaji. Hajui sheria na ndiyo maana kwa mara nyingine anaanguka.

Mara ya kwanza alianguka wakati alipojitahidi kumwoondoa Magufuli kwenye Urais. Mara ya pili ni baada ya kuto zingatia sheria na kanuni za bunge na mara ya tatu leo katika maombi yake ya kesi dhidi ya Spicker wa bunge letu tukufu.

Lissu na genge lake ni wababaishaji tu. Sheria hawazijui, kelele zu za mitandaoni na soko kubwa.

Watu wana Ma PHD ya Sheria yeye anakuja na kiji Masters chake akitegemea kushindana na wasomi walio bobea. Ridiculous!
Mkuu hata huku mtaani tunawaambia kila siku hawataki kuelewa. Lissu ni mwanasheria wa mihemiko tu ndio maana ni Mwanasheria Maarufu sio Mwanasheria mashuhuri! Poleni sana Ufipa na wapiga filimbi wenu JF!
 
Kesi imeisha lakini nimeshangaa sana kosa walilofanya hawa mawakili. Jaji ametoa hukumu ya Lissu pamoja na vifungu vingine vya kutoingilia maamuzi ya bunge.; na hiki pia kikiwemo;- kufatia kifungu cha sheria kuwa; kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi ibara ya 66 kifungu cha 108, kinachopingwa mahakamani siyo kuapishwa bali ni uchaguzi, kwa nini hawakulifanya hili mapema kwa kuzuia uchaguzi usifanyike na kuwakilisha hoja walizokuwa nazo za kuzuia uchaguzi? walifanya maksud au hicho kifungu hawakukipitia? hilo limesomeka hivyo je, rufaa ya hapo itahusu nini kama itakuwepo?
 
Jiwe limeshampiga mkwara jaji lakini malipo ni hapa hapa duniani Lissu usijari kuna siku watashuhudia ukiwa kiongozi mkubwa wa nchi hii kwa sasa ni wakati wao lakini huo wakati utapita kama upepo.
 
Msingepeleka mawakili 14 angekuwa kama unavyo tuaminisha
Watu wamesha sema sana kuwa Lissu sio mwanasheria mbobeaji. Hajui sheria na ndiyo maana kwa mara nyingine anaanguka.

Mara ya kwanza alianguka wakati alipojitahidi kumwoondoa Magufuli kwenye Urais. Mara ya pili ni baada ya kuto zingatia sheria na kanuni za bunge na mara ya tatu leo katika maombi yake ya kesi dhidi ya Spicker wa bunge letu tukufu.

Lissu na genge lake ni wababaishaji tu. Sheria hawazijui, kelele zu za mitandaoni na soko kubwa.

Watu wana Ma PHD ya Sheria yeye anakuja na kiji Masters chake akitegemea kushindana na wasomi walio bobea. Ridiculous!
 
Jaji anaogopa kuingia kwenye mgogoro wa kikatiba...hahaha hahaha hahaha haya endelea kuogopa kutoa haki kwa kuogopa kugombana na wenzako
 
Jiwe limeshampiga mkwara jaji lakini malipo ni hapa hapa duniani Lissu usijari kuna siku watashuhudia ukiwa kiongozi mkubwa wa nchi hii kwa sasa ni wakati wao lakini huo wakati utapita kama upepo.
Kama unaamini katika Dhana ya malipo nice hapahapa duniani Basi hata haya Mengi yaliomtokea Lissu ni Malipo kwa yale aliotenda
 
Kwa hiyo Spika wa Bunge sawa hivi ana mamlaka kuliko hata Rais maana maamuzi yake hayahojiwi popote kwa vile italeta mgogoro.
Katiba inalipa Bunge kuweza kuhoji jambo atakalo Fanya rais kama halina manufaa kwa taifa na laweza kumfuta kazi, lakini Jaji anaogopa maamuzi ya Spika hata kama katika chooni na kujiamulia lolote.
Ajabu ya Tanzania inashinda ajabu zote duniani
Huyo jaji alishakaa Na wenye nchi Naye akapangika.kwa hapa Tanzania mfumo ambao uko Huru Ni wa serikali tu, huu wa mahakama Na bunge mizugo tu
 
Hatimaye mahakama kuu ya Tanzania chini ya jaji matupa imetupilia mbali maombi ya Tundu Lisu ikisema kuwa haiwezi kutengua maamuzi ya Spika pole Lissu hili ni pigo miongoni mwa mwa mapigo kadhaa yatayokufanya uwaombe radhi watanzania kwa usaliti wako
Tulisema Usaliti wake Kamwe hauta fanikiwa
Na huo nimwanzo tu bado dawa yake
 
Ningependa Huyu Hakimu kabla hajatoa uamuzi wake, ajiuluze swali moja.

JEE OFFICE YA SPEAKER WALIPOKUWA WANAFANYA , MAZUNGUMZO NA FAMILIA YA LISSU, HAWAKUELEZWA ALIPO NA HALI YAKE ILIVYO? PIA AJIULIZE HAYO MAZUNGUMZO YALIKUWA PRIVATE AMA OFFICIAL?

Nadhani akipata majibu hayo, than it is obvious kuwa speaka alikuwa na information kamili kuhusu Lissu, na atoe uamuzi wa haki. JUSTICE IS FOR ALL AND NOT FOR MY PARTY ONLY
Kwani unadhani kuwa jaji hajui analolifanya?
 
Sikutegemea kinyume cha maamuzi haya
Mtu mmoja anaongoza kila mhimili
Muda utafika kilio na kusaga meno itatawala nyumba zao
Live Long Lissu!
Huo muda utakufikia ukiwa Kwa yesu au akirudi Yesu
Endelea kuota mchana
 
Hiki kinachoitwa mgogoro wa kikatiba binafsi nashindwa kabisa kukielewa, ina maana bunge likivunja katiba wazi wazi mahakama haiwezi kuingilia? Ni nini dhana ya check and balance kwenye hii mihimili mitatu ya dola?
 
Back
Top Bottom