Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Napiga nao stori tuu sasa hii sehemu ambayo watalala pamoja katika shule ya Msingi maarufu hapa Dar es Salaam.
Hakuna siri wala kitu chochote wameambiwa na wametahadharishwa kuwa makini na wizi wa kura pia nimekutana na rafiki yangu tuliyesomaga naye yeye ni Police napiga naye stori hawana silaha wala nini zaidi ya Kirungu na shuka na mswaki wengi wana mabegi madogo ya mgongoni kwa kweli morali iko juu hata huyu askari yeye ni mwanamabadiliko.
Hakuna siri wala kitu chochote wameambiwa na wametahadharishwa kuwa makini na wizi wa kura pia nimekutana na rafiki yangu tuliyesomaga naye yeye ni Police napiga naye stori hawana silaha wala nini zaidi ya Kirungu na shuka na mswaki wengi wana mabegi madogo ya mgongoni kwa kweli morali iko juu hata huyu askari yeye ni mwanamabadiliko.