Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,560
- 3,555
Sijui ukiishi katika jiji hili, ufanyeje kuepuka lawama..!!
Ukiwa Mbunge lawama.
Ukiwa Raisi lawama.
Ukila vizuri lawama..
Ukijulikana umetokea mkoani lawama.
Ukiwa na kazi..ndugu lawama..
Ukiishi bila kazi..lawama
Ukiwa na simu ya bei..lawama
Ukiwasaidia ndugu zako lawama
Ukimsaidia rafiki ndugu lawama.
Jamani naomba wale wanaoishi Dar , endelezeni zile lawama mnazopitia...na msipoendeleza nawapa lawama..
Ukiwa Mbunge lawama.
Ukiwa Raisi lawama.
Ukila vizuri lawama..
Ukijulikana umetokea mkoani lawama.
Ukiwa na kazi..ndugu lawama..
Ukiishi bila kazi..lawama
Ukiwa na simu ya bei..lawama
Ukiwasaidia ndugu zako lawama
Ukimsaidia rafiki ndugu lawama.
Jamani naomba wale wanaoishi Dar , endelezeni zile lawama mnazopitia...na msipoendeleza nawapa lawama..