Ashindwe kuchoma supplementary,au kutokufanya field kunaweza kuwa disco wakikuonea huruma una rudia mwaka mzimaKwa wenye uzoefu na chuo chetu hichi naomba nijue ili mtu aretake inabidi awe amekosa qualification zipi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ashindwe kuchoma supplementary,au kutokufanya field kunaweza kuwa disco wakikuonea huruma una rudia mwaka mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Bigi Sheria DIT zimebadilika nowadays usipofikisha CA retake hamna markup testAshindwe kuchoma supplementary,au kutokufanya field kunaweza kuwa disco wakikuonea huruma una rudia mwaka mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mambo yamekuwa tightBigi Sheria DIT zimebadilika nowadays usipofikisha CA retake hamna markup test
Bigi Sheria DIT zimebadilika nowadays usipofikisha CA retake hamna markup test
Either hujafikisha CA au umeshindwa kuchomoa Sup.Ambapo inategemea uko mwaka wa ngapi.Kwa wenye uzoefu na chuo chetu hichi naomba nijue ili mtu aretake inabidi awe amekosa qualification zipi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa mbona umempinga jamaa hapo juu while ameongea the same kama wweEither hujafikisha CA au umeshindwa kuchomoa Sup.Ambapo inategemea uko mwaka wa ngapi.
Maana kuna miaka mingne una carry ukishndwa kuchomoa Sup na mingne una retake
Ila kutokufikisha CA ni retake ya moja kwa moja bila msaada mwingine wwte
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile table yako pale kantini haina wadau, Rudi mzee pool table ifufukeSasa mbona umempinga jamaa hapo juu while ameongea the same kama wwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha i will bro bado ipo?Ile table yako pale kantini haina wadau, Rudi mzee pool table ifufuke
Wahuni wameifanya meza ya chakula
umeongea kama alivyoongea jamaa hapo juu uliempingaEither hujafikisha CA au umeshindwa kuchomoa Sup.Ambapo inategemea uko mwaka wa ngapi.
Maana kuna miaka mingne una carry ukishndwa kuchomoa Sup na mingne una retake
Ila kutokufikisha CA ni retake ya moja kwa moja bila msaada mwingine wwte
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepasahau pond mzee wa kaziLong live DIT!
From Mtafya, Mwansele to Msumba, Mama Nzowa, Ngomuo, Mtangoo to Mburuma, Malongo, Msigala to Tesha. Mambo ya Mzee wa "Conjugate", Kibani Mzee wa Kazi.... Daah! Long live "Mawasiliano Angani" na Mama Kabadi.
Missing you mtaalam wa TDTS na TV and Video Technology marehemu Ngole.... How is Korea mzee Paeng Kim? Nijiandae niende DH lakini dada Vicky atanipa msosi wa kutosha kweli? Au acha niende tu Canteen....lakini ni CBE au DIT? Nikasomee C2 au B14? Au niende A-Block? Library iko wazi leo?
Nitapita nimsalimie Pascal Chisongela na Alex Bunzu halafu nitapita block V nimcheck Booz mzee wa Arsenal anipe matokeo ya EPL. Kabla ya hapo nitapitia kwa Buchwechwe Muchunguzi kisha nitamtext mwalimu Omary nione kama Basic Telecommunication nina supp au nimepita. Wapi Justice Lubuwah, John Bomba? Kesho test ya Hesabu za mzee wa white suit dah!...
Nitapita block II ili niwasalimie Upendo wa Kenneth, Happy, Ikunda na Vale: halafu nitapitia block III nicheck watu wa Mecha kama hawajagombana leo ili niende zangu A block nimplekee madaftari mzee wa kutoboa ........
Salute to all Departments: Mecha, Tele, LabTech, Electrical, Civil......!!
DIT!.... Long live DIT!
Rest In Peace Dave Luhala!
BH, DIT Alumni.
Ulishaiyona lkn hyo supercomputer nikama computer nyingine sema unauwezo mara mia ya computer za kawaidaHivi ukitaka kutumia hiyo supercomputer unafanyeje?
Either hujafikisha CA au umeshindwa kuchomoa Sup.Ambapo inategemea uko mwaka wa ngapi.
Maana kuna miaka mingne una carry ukishndwa kuchomoa Sup na mingne una retake
Ila kutokufikisha CA ni retake ya moja kwa moja bila msaada mwingine wwte
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwafy piga tu maso hakuna namnaKwa wenye uzoefu na chuo chetu hichi naomba nijue ili mtu aretake inabidi awe amekosa qualification zipi?
Sent from my iPhone using JamiiForums