Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Zamani watu walikuwa wanakataa viwanja Ubungo Kibangu, wakawa wanakataa viwanja Kimara, wakawa wanakataa viwanja Mbezi...leo hii watu wanajenga Kibaha wanafanya kazi Dar Posta.
Stand leo hii inajengwa Mbezi Luis ya magari ya mikoani. Miaka kadhaa ijayo utakuta inahamishiwa Chalinze, ukikaaa kaa tena utakuta inaenda jengwa Morogoro, ikikatika tena utakuta inahamishiwa Iringa na Dodoma.
Maisha yanakimbia kwa kasi sana. fikiria mtu anaishi mkoa wa Pwani Kerege ananunua mahitaji yake Dar Bunju, Bocco.
Hii dunia kwa sasa kama unapewa kiwanja Mikumi chukua tu. Usije ukasema porini. Kesho na keshokutwa utakuta unakuja lazimika kununua kiwanja mlima Kitonga na hali ulipewa kwa bei ndogo Mikumi ukakataa. Majuto ni mjukuu usije sema sikukwambia.
Stand leo hii inajengwa Mbezi Luis ya magari ya mikoani. Miaka kadhaa ijayo utakuta inahamishiwa Chalinze, ukikaaa kaa tena utakuta inaenda jengwa Morogoro, ikikatika tena utakuta inahamishiwa Iringa na Dodoma.
Maisha yanakimbia kwa kasi sana. fikiria mtu anaishi mkoa wa Pwani Kerege ananunua mahitaji yake Dar Bunju, Bocco.
Hii dunia kwa sasa kama unapewa kiwanja Mikumi chukua tu. Usije ukasema porini. Kesho na keshokutwa utakuta unakuja lazimika kununua kiwanja mlima Kitonga na hali ulipewa kwa bei ndogo Mikumi ukakataa. Majuto ni mjukuu usije sema sikukwambia.