IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Ndugu,
Nina mda cijakanyaga Dar last week nilikuwa huko kwa mishe zangu kiukweli kinachoendelea kinasikitisha sana.
1. Barabara zimegeuka frame za maduka, mbaya zaidi wanafanya biashara mbele ya frame za watu.
2. Ni vurugu hakuna kwa kupita kila kona ya jiji ni uhuni unafanyika.
3. Wanaofanya biashara ni wachafu kupitiliza hawajali kanuni za afya.
Napendekeza kwa Dar machinga walipe 50000/= kwa mwaka ili wapewe kitambulisho cha ujasiliamali.
Pia serikali iangalie utaratibu wa kuzuia mambo ya ajabu yanayoendelea hapo.
Nina mda cijakanyaga Dar last week nilikuwa huko kwa mishe zangu kiukweli kinachoendelea kinasikitisha sana.
1. Barabara zimegeuka frame za maduka, mbaya zaidi wanafanya biashara mbele ya frame za watu.
2. Ni vurugu hakuna kwa kupita kila kona ya jiji ni uhuni unafanyika.
3. Wanaofanya biashara ni wachafu kupitiliza hawajali kanuni za afya.
Napendekeza kwa Dar machinga walipe 50000/= kwa mwaka ili wapewe kitambulisho cha ujasiliamali.
Pia serikali iangalie utaratibu wa kuzuia mambo ya ajabu yanayoendelea hapo.