JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,302
- 5,441
Soko hilo lipo katika Jimbo la Kawe ambalo Mbunge wake ni Joseph Gwajima licha ya ushuru kukusanywa sokoni hapo lakini lipo hatarini kusababisha magonjwa ya mlipuko.
Picha hizi vimepigwa jana Aprili 30, 2022