Dar es Salaam inachakaa kwa kasi ya ajabu. Mtaa wa Samora, moja ya mitaa ya jiji iliyokuwa kitovu cha biashara ya bidhaa halisi kwa sasa inatia huruma. Biashara ni kama hakuna na zilizobaki hazina wateja. Ule ukijani na marashi ya Mtaa wa Samora sasa ni historia.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.