Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,365
- 33,004
Ndiyo hivyo. Mambo ya mabeberu si ndiyo siasa zenyewe za ubepari vs ujamaaInamaana tumerudi kule😱😱
Ndiyo hivyo. Mambo ya mabeberu si ndiyo siasa zenyewe za ubepari vs ujamaaInamaana tumerudi kule😱😱
Rudi kwenu ukapaendeleze😂😂, anyway if you risk 1k to get 5k that is a big dealDar es Salaam inachakaa kwa kasi ya ajabu. Mtaa wa Samora, moja ya mitaa ya jiji iliyokuwa kitovu cha biashara ya bidhaa halisi kwa sasa inatia huruma. Biashara ni kama hakuna na zilizobaki hazina wateja. ule ukijani na marashi ya Mtaa wa Samora sasa ni historia.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar Es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.
Kwenye vumbi au?Dodoma ndiyo habari ya mjini
Nenda dodoma
Mimi nipo rukwa
Sasa unafikiri Dar ikiendelea kupewa vipaumbele kwa kila jambo la kimaendeleo hiyo mikoa mingine inayobaki itaendelezwa lini na nani??Wewe huelewi kwamba Dar ikiungua, huko kwingine kunateketea.
Rais ajaye?🤓Dar es Salaam inachakaa kwa kasi ya ajabu. Mtaa wa Samora, moja ya mitaa ya jiji iliyokuwa kitovu cha biashara ya bidhaa halisi kwa sasa inatia huruma. Biashara ni kama hakuna na zilizobaki hazina wateja. ule ukijani na marashi ya Mtaa wa Samora sasa ni historia.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar Es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.
We are doomedDar es Salaam inachakaa kwa kasi ya ajabu. Mtaa wa Samora, moja ya mitaa ya jiji iliyokuwa kitovu cha biashara ya bidhaa halisi kwa sasa inatia huruma. Biashara ni kama hakuna na zilizobaki hazina wateja. ule ukijani na marashi ya Mtaa wa Samora sasa ni historia.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar Es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.
Aisee namuombea sana Manj huko aliko afanikiwe ili angalau afute machozi kwa aliyotendewa na hawa watu wenye roho mbaya.Dar es Salaam inachakaa kwa kasi ya ajabu. Mtaa wa Samora, moja ya mitaa ya jiji iliyokuwa kitovu cha biashara ya bidhaa halisi kwa sasa inatia huruma. Biashara ni kama hakuna na zilizobaki hazina wateja. ule ukijani na marashi ya Mtaa wa Samora sasa ni historia.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar Es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.
Nani atakubali kwenda kuishi huko vijijini? Yaani unitoe dar niende huko chaka?Dodoma ndiyo habari ya mjini
Nenda dodoma
Mimi nipo rukwa
Nimetembea Dar es Salaam Mambo Magumu😂😂😂😂😂😂 umesahau vimeza vya machinga! Sekta iliokuwa toka kitu cha daladala Mnazi mmoja mpaka CBE 😁
Hayo ndiyo matakwa ya wenye mamlakaNilienda Acb main branch hakuna foleni nilishangaa sana..
Tellers wanachati tu
Kufifia kwa Dar hakupimanishwa na kukua kwa Dodoma. Dodoma kwa Dar labda uiringanishe na pale Mbezi Mwisho (Kwa Yusuf)
HaiwezekaniNani atakubali kwenda kuishi huko vijijini? Yaani unitoe dar niende huko chaka?
bro amka kumekucha utalowesha godoro na kesho kuna wageni!..........Rais ajae ana mtihani.
Kama ulipita Jumapili,tena jioni inategemea ukute nini Kama sio ukimyaDar es Salaam inachakaa kwa kasi ya ajabu. Mtaa wa Samora, moja ya mitaa ya jiji iliyokuwa kitovu cha biashara ya bidhaa halisi kwa sasa inatia huruma. Biashara ni kama hakuna na zilizobaki hazina wateja. ule ukijani na marashi ya Mtaa wa Samora sasa ni historia.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar Es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.
Hata kwa viboko huniamishi dar cityHaiwezekani
Dar es Salaam Ndiyo Tanzania
Bandari Kubwa, Uwanja Wa Ndege, Railway, Reserves Ya Mafuta
Sekta inayokuwa Kwa Kasi Dar ni vibanda vya mihogo ya kukaanga, dagaa na pilipili. Kuni zinapikiwa mpaka katikati ya jiji.😄😄🤣🤣