Dar es Salaam bado inamuhitaji Paul Makonda sana

Kwani ni lazima awe kiongozi ndio aishi?!
atafute kazi nyingne ya kufanya aache mambo ya kubebwa kama mademu wapewa ofa za bia!!!.
 
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"

kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa

Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji

ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Kakutuma uje ulete ubashite wenu hapa. Huyo labda mpeleke kwenu akawaongoze.
 
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"

Kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa

Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji

ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Makonda, acha kujificha nyuma ya keyboard kuomba kazi! Ulibugi Sana yaani kwa kuigeuza ofisi ya umma kupigia madili yako ya ukibaka!
Mwache aliyepo anatosha na usimchonganishe na mteule wake!
Kwani Kuna kitu au mradi gani uliusimamia ukaisha na kuleta matunda?
Madaraja yote uliyojenga kwa mhemko yamekwenda na mafuriko kule kivule!
Kaa kwa kutulia umtafutie Keegan mdogo wake kwani kazi ilikushinda! Dar Ina amani zote na inapendeza bila uwepo wako.
 
Makonda, acha kujificha nyuma ya keyboard kuomba kazi! Ulibugi Sana yaani kwa kuigeuza ofisi ya umma kupigia madili yako ya ukibaka!
Mwache aliyepo anatosha na usimchonganishe na mteule wake!
Kwani Kuna kitu au mradi gani uliusimamia ukaisha na kuleta matunda?
Madaraja yote uliyojenga kwa mhemko yamekwenda na mafuriko kule kivule!
Kaa kwa kutulia umtafutie Keegan mdogo wake kwani kazi ilikushinda! Dar Ina amani zote na inapendeza bila uwepo wako.
Unaweza kuorodhesha madili hayo unayoyasema
 
Sasa hivi CCM inatolea macho Umeya tu .
Amshaamsha zilitokana na nia ovu ya kumaliza upinzania na sasa wamebaki wenyewe . Makonda hafai tena mana yeyote atakayemgusa kisiasa atakua ameigusa CCM na serikali yake pekee.
Bunge litamcharura vibaya sana na itakua ndio mwanzo wa kuivuruga CCM.

Adui yake mkubwa Aitwae Rashidi amepokelewa vizuri Sana Bungeni. Ile ni dalili ya kumfuta Bashite kwenye ulimwengu wa Siasa.
Arudi akahubiri Injili badala ya Rashidi.
Rashidi ameanguka dhambini tangu aliporikodi picha za ngono.
 
Ameifanyia NINI DAR ES SALAMA????.

NASIKITIKA KUONA IDADI YA WAJINGA IKIONGEZEKA KWA KASI KUBWA.

RIP. Mwalimu JK Nyerere.
 
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"

Kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa

Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji

ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
Nchi imejaa watu wajinga na matakataka aisee
 
Na akirudi ataongoza zoezi la kupima tezi dume chumba kwa chumba,
wanaume wa dar mjiandae.
Kiukweli hili jiji bado linahitaji huduma ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa huu mheshimiwa Paul Makonda "Bashite"

Kwa sasa jiji limepoa, kama vile halina mkuu wa mkoa

Sisi wananchi wa Dar tunakuomba Rais Magufuli uturudishie mtu huyu muhimu kwa maendeleo ya jiji

ilikuwa haiwezi pita mwezi bila kuanzisha shughuli yoyote ile yenye maslahi kwa wanadaslamu huku ikiwaumiza wapinzani
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom