Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Wanne kati ya watuhumiwa 10 kesi ya mauaji ya Dk. Sengodo Mvungi wameachiwa huru baada ya DPP kuondoa mashtaka dhidi yao- HT @ Nipashe
Acha kupotosha kwa lengo la kuichafua mahakama au sab zako binafsi. Hilo ni kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha (armed robbery) kwa kawaida mahakama haiangalii thamani ya kitu kilichonyang'anywa bali inaangalia kama kweli tendo la unyang'anyi na kujeruhi limefanyika. Kwahiyo mtuhumiwa amefungwa kwa unyang'anyi wa kutumia nguvu sio kwa wizi wa simu.
Toa ushaidi mkuu wa kuwakamata unaowajua sio ulalame tuHeeee halafu mafisadi wanaachwa? Maaajabu haya yapo tz .2020.hatukosei tena ...
hakuna kosa linaloitwa unyang'anyi wa kutumia akili.Vipi kuhusu wanyang'anyi wanaotumia akili?
Duu mkuu umenichekesha kikristo ulichoandika hapoina maana alivizia kukaba akajeruhi na kupora Amri Robare
Ukishamuita mtu fisadi maana yake ameshahukumiwa vinginevyo huyo ni mtuhumiwa wa ufisadi.We vipi mafisadi wamehukumiwa kwan? Mahakama ya mafisadi haina kesi ..mafisadi wanadunda mtaani dagaaa wanahukumiwaa
wizi wa kuaminiwa jela mvua 5 bila faini wala nn!Vipi kuhusu wanyang'anyi wanaotumia akili?
unyang'anyi wa kutumia nguvuDuu mkuu umenichekesha kikristo ulichoandika hapo
Hakutumia silaha,alimpiga ngumi dada kayumba,wakati dada anatetea simu yake akamsukuma dada akadondokea mafuta kaungua mgongoni,,kesi iliendeshwa kwa miaka miwiliarmed robbery hiyo
Acha kupotosha kwa lengo la kuichafua mahakama au sab zako binafsi. Hilo ni kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha (armed robbery) kwa kawaida mahakama haiangalii thamani ya kitu kilichonyang'anywa bali inaangalia kama kweli tendo la unyang'anyi na kujeruhi limefanyika. Kwahiyo mtuhumiwa amefungwa kwa unyang'anyi wa kutumia nguvu sio kwa wizi wa simu.
Hapo siwezi kusema lkn kuna nafasi ya kukata rufaa kama anaamini ameonewaAliyeibiwa alipigwa ngumi,akasukumwa bahati mbaya akadondokea mafuta ya kuchomea chips akaungua mgongoni, hapo vipi adhabu ni sawa?
khaaa! hiv ni laki na kumi au billion mia na kumi?? siamini kama kuna watu wanamuabudu Mungu huyu wetu sisi naamini wana wa kwao..[HASHTAG]#Habari24UPDATES[/HASHTAG], Kassim Salum (18) mkazi wa Dar Es Salaam, amehukumiwa kwenda Jela Maisha kwa kosa la kuiba simu aina ya Tecno (TZS 110,000) na kujeruhi.
Kwan Kuna sumu inayotumia vocha?Au hiyo simu haitumii vocha?