Dar entertainment zake si za kutosha!

Papa Mopao

JF-Expert Member
Oct 7, 2009
4,105
2,499
Nimezunguka maeneo ya kupata kitu 'Entetainment' nimegundua bado haziridhishi kwa sababu Entertainment za hapa Bongo especially dar si za kupumzisha akili ndo maana kuna wingi wa stress miongoni mwa wakazi wa Dar.Entertainment nyingi ni za pombe na vidosho.

Bado kuna upungufu wa kupata entertainment za kutosha na zenye kubadilisha akili ikawa fresh.Nchi zilizoendelea kwenye entertainment wamejitahidi na wako mbali sana jamani angalau kwetu huku kuwe na hayo!
 
Ndio maana tumeruhusu wawekezaji ili watu wenye idea kama zako muweze kufanya bongo ili nayo iwe kama mamtoni. Watanzania wengi wenye idea hawana mtaji na wenye mtaji hawana idea, take the oppotunity to the reality pamoja tunaweza.

Remember every good idea can start with you.
 
Ndio maana tumeruhusu wawekezaji ili watu wenye idea kama zako muweze kufanya bongo ili nayo iwe kama mamtoni. Watanzania wengi wenye idea hawana mtaji na wenye mtaji hawana idea, take the oppotunity to the reality pamoja tunaweza.

Remember every good idea can start with you.

Your right mkuu!
Kweli entertainment hapa bongo bado kabisa yaani.
 
Nimezunguka maeneo ya kupata kitu 'Entetainment' nimegundua bado haziridhishi kwa sababu Entertainment za hapa Bongo especially dar si za kupumzisha akili ndo maana kuna wingi wa stress miongoni mwa wakazi wa Dar.Entertainment nyingi ni za pombe na vidosho.

Bado kuna upungufu wa kupata entertainment za kutosha na zenye kubadilisha akili ikawa fresh.Nchi zilizoendelea kwenye entertainment wamejitahidi na wako mbali sana jamani angalau kwetu huku kuwe na hayo!


Sasa si utuambie basi entertainment za namna gani hazipo? Haya mambo ya ku-generalize saa nyingine hayasaidii kitu, weka nondo hapa full size Yaani Dar imekosa A, ..B,.... C,.... nk. Sio kutoa porojo tu.

JF where we dare to talk openly. Wasije wakasema we aren't great thinkers? khe khe khe khe
 
Sasa si utuambie basi entertainment za namna gani hazipo? Haya mambo ya ku-generalize saa nyingine hayasaidii kitu, weka nondo hapa full size Yaani Dar imekosa A, ..B,.... C,.... nk. Sio kutoa porojo tu.

JF where we dare to talk openly. Wasije wakasema we aren't great thinkers? khe khe khe khe
I didn't know you can sometimes talk some sense into someone! Au ndio mambo ya 2010?!
 
I didn't know you can sometimes talk some sense into someone! Au ndio mambo ya 2010?!



We should dare talk openly on every issue so that our beloved peasant can be happy thereafter, we should desist when it involves Chelsick. Hiyo ndo unapenda sio?

Mafia mafia to the core. Chelsick ni timu ya mafia Vikongwe wa darajani kazi yao ni umafia tu kutoka kuiba bidhaa kwenye supermarkets, kuuza unga bar, kuwatisha marefa, kuruka ruka kama kunguru na kupata penalty za bure anazofanya Drog the bar etc. You name it, its available at Chelsick. Roman de abramo vich has cemented the culture. Hawa vikongwe wa darajani tunawatafutia muarobaini ambao tayari unachemka.

BTW umelima hekari ngapi mwaka huu. Hatutaki njaa Tanzania na ni wewe peasant tunayekutegemea kwa chakula. Na hiyo nembo yako ya Umafia utaondoa lini? Khe khe khe khe khe khe .
 
Sasa si utuambie basi entertainment za namna gani hazipo? Haya mambo ya ku-generalize saa nyingine hayasaidii kitu, weka nondo hapa full size Yaani Dar imekosa A, ..B,.... C,.... nk. Sio kutoa porojo tu.

JF where we dare to talk openly. Wasije wakasema we aren't great thinkers? khe khe khe khe

Jamaa labda anazungumzia mambo ya massage parlors !!!
 
Sasa si utuambie basi entertainment za namna gani hazipo? Haya mambo ya ku-generalize saa nyingine hayasaidii kitu, weka nondo hapa full size Yaani Dar imekosa A, ..B,.... C,.... nk. Sio kutoa porojo tu.

JF where we dare to talk openly. Wasije wakasema we aren't great thinkers? khe khe khe khe

Mkuu,

Tuko pamoja hapa. Hebu atwambie ni entertainment zipi zinakosa Dar kwani wengine hatujui huko majuu kuna entertainment gani ati!!! Wahaya wanausemi kwamba "Atagenda ati mae achumba" ikiwa na maana ya kwamba mtu anakuwa na tabia ya kusifia mapishi ya mama yake kwa kuwa hajapata nafasi ya kuonja mapiashi ya watu wengine. Sasa sisi ambao hatujawahi kufika majuu sio rahisi kujua ni kitu gani tunakikosa hapa Dar.

Tafadhali mtoa mada weka wazi!!!

Tiba
 
Papa Mopao kwani wewe 'entertainment' unai define vipi? Mimi binafsi naamini 'entertainment' ni kitu ambacho ni personal, it is in one's mind. Unachokiita 'entertainment' wewe kwangu mimi kinaweza kuwa kero. So in general you are not being fair ukisema Dar hakuna entertainment, labda utuambie unajisemea wewe binafsi.

Mimi niko majuu miaka mingi lakini nikuambie, there's no place like home, the minute nikitia mguu tu pale JK airport- 'entertainments' zangu zinaanza. Talk about being reunited with my beloved relatives and old good friends, mademu wa kumwaga wazuriiii! Kakilimanjaro ka bariiiidi, kitimoto mbuzi choma! Ugali matembele na dagaa wa mbilimbi kwa pembeni, jioni naenda zangu Ngwasuma, Msondo Ilala au kwa wazee wa masauti.........Hiyo ni siku moja tu, bado kesho yake na keshokutwa! Weee acha bwana, usipime kabisa!
 
Papa Mopao kwani wewe 'entertainment' unai define vipi? Mimi binafsi naamini 'entertainment' ni kitu ambacho ni personal, it is in one's mind. Unachokiita 'entertainment' wewe kwangu mimi kinaweza kuwa kero. So in general you are not being fair ukisema Dar hakuna entertainment, labda utuambie unajisemea wewe binafsi.

Mimi niko majuu miaka mingi lakini nikuambie, there's no place like home, the minute nikitia mguu tu pale JK airport- 'entertainments' zangu zinaanza. Talk about being reunited with my beloved relatives and old good friends, mademu wa kumwaga wazuriiii! Kakilimanjaro ka bariiiidi, kitimoto mbuzi choma! Ugali matembele na dagaa wa mbilimbi kwa pembeni, jioni naenda zangu Ngwasuma, Msondo Ilala au kwa wazee wa masauti.........Hiyo ni siku moja tu, bado kesho yake na keshokutwa! Weee acha bwana, usipime kabisa!

Hmmmmm! Wabongo kwa nanino!
 
Hmmmmm! Wabongo kwa nanino!
Sio lazima uiguse, wakati mwingine unaingia kiwanja unaagiza kanywaji kako bariidi unakaa angle unatakasa macho tu ukirudi home umaliza uzushi bafuni- entertainment ya kutosha, priceless!
 
Sasa si utuambie basi entertainment za namna gani hazipo? Haya mambo ya ku-generalize saa nyingine hayasaidii kitu, weka nondo hapa full size Yaani Dar imekosa A, ..B,.... C,.... nk. Sio kutoa porojo tu.

JF where we dare to talk openly. Wasije wakasema we aren't great thinkers? khe khe khe khe

huyu anasubiri uraia wa nchi mbili uruhusiwe atimke moja kwa moja!

alafu anasema eti bongo kuna pombe tu na vidosho, sasa kuna starehe nyingine zaidi ya hizo??????????????

tuweni wakweli wajameni
 
Back
Top Bottom