Dar Coach wazidi kushusha bei zao za uundaji body za mabasi

aisee hivi sis tunaopenda chini tunaweza kuja kufungua kampuni dizaini hii kweli? maana nusu ya mshahara unaishia kuhonga na mambo kama hayo.
 
Kweli watu mpo gizani, hapa hapa Tanzania ubungo hapo kuna bus za milion mia 7 unasema bei hiyo? Hivi unafikiri zile Marcopolo za Abood na Hood walinunua sh ngapi? Milion mia 5 na kitu, ila guarantee yake ni miaka 10.. Msione vyuma vya watu vipo road mkachukulia poa! Unazungumzia faida? Unajua scania r au g mpya ya kwenye makaratasi inauzwa bei zaidi ya hiyo iliyotajwa kwenye haya mabus? Hapo ni horse tu hujagusa trailer? Hiyo ni bei ya kawaida sana Mkuu.
Watu wanasahau kuwa value ya tsh vs USD ni vitu wiwili tofauti mfano ungekuta ni kwa majirani zetu Kenya ni Ksh 23mln sasa hapo tujiongeze kama watz
 
Kweli watu mpo gizani, hapa hapa Tanzania ubungo hapo kuna bus za milion mia 7 unasema bei hiyo? Hivi unafikiri zile Marcopolo za Abood na Hood walinunua sh ngapi? Milion mia 5 na kitu, ila guarantee yake ni miaka 10.. Msione vyuma vya watu vipo road mkachukulia poa! Unazungumzia faida? Unajua scania r au g mpya ya kwenye makaratasi inauzwa bei zaidi ya hiyo iliyotajwa kwenye haya mabus? Hapo ni horse tu hujagusa trailer? Hiyo ni bei ya kawaida sana Mkuu.
Duh!! nilikuwa sijui kumbe ukiona mtu ameweka mabasi zaidi ya kumi barabarani inatakiwa kumheshimu aisee.....
 
$217,000 × 2230= Tshs 483,910,000.

Muwe mna acha Ujinga.
Hilo ni Bas au Bombadier ya Magufuri?
mkuu hiyo bei mbona nafuu sana, kumbuka hiyo ni scania sio Zongtong, zile Marcopolo za scandinavia express hadi leo ziko barabarani wakati youtong za juzi ziko juu ya mawe,
 
Kampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.

Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.

Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.

Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body

Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
Ili kuwawezesha wazawa serikali ipige marufuku uingizaji wa mabasi kutoka nje, hizi za mchina iko kwenye lami inarukaruka utafikiri umepanda fuso la mchanga.
 
Punguza uwongo wewe nani kakwambia ?au unaongea neno bila kulijua?wacha kurukia rukia mambo ya kiweredi
....Kwa sisi tunaowasoma hapa hatujui nani mkweli between you two, weka ukweli wako hapa lakini kusema tuu punguza uwongo au nani kakwambia haisaidii...
 
....Kwa sisi tunaowasoma hapa hatujui nani mkweli between you two, weka ukweli wako hapa lakini kusema tuu punguza uwongo au nani kakwambia haisaidii...
Mkuu kwanza tiririka na uzi utayakuta hayo unayohitaji
 
Back
Top Bottom