hewizet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 2,399
- 1,491
umeilewa mada lakini mkuu??tahmeed coach ndo utamu ulipojificha japo mnasimamaga hotel mbovu liverpool
umeilewa mada lakini mkuu??tahmeed coach ndo utamu ulipojificha japo mnasimamaga hotel mbovu liverpool
itakuwa hajaelewaumeilewa mada lakini mkuu??
OTE="falcon mombasa, post: 20939960, member: 277389"]mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
mbona unateseka sana mkuu
Nimeielewa haswaa, ila si unajua tena ukishavurugwa!!!umeilewa mada lakini mkuu??
hahahaa sawa mkuuNimeielewa haswaa, ila si unajua tena ukishavurugwa!!!
Ni zaidi ya milioni 500hiyo ni shilingi ngapi kwa shilingi za kitz?
Kumbe hata nyie bavicha huwa mnadanganyana wenyewe kwa wenyewePunguza uwongo wewe nani kakwambia ?au unaongea neno bila kulijua?wacha kurukia rukia mambo ya kiweredi
Kitu kama hujui funga bakuliKumbe hata nyie bavicha huwa mnadanganyana wenyewe kwa wenyewe
Du! kumbe basi jipya ni zaidi ya millioni 800?
Million 800 ni marcopolo G6 terious kama ile ya Ilasi express ina engine ya scania F94HB310 6x2Du! kumbe basi jipya ni zaidi ya millioni 800?
Du! kumbe basi jipya ni zaidi ya millioni 800?
Nakubaliana na wewe mkuuMillion 800 ni marcopolo G6 terious kama ile ya Ilasi express ina engine ya scania F94HB310 6x2
Mkuu hii kama ndege
Chuma hicho inadumu miaka 600Mkuu hii kama ndege
$217,000 * Tsh 2235 = Tsh 484,995,000hiyo ni shilingi ngapi kwa shilingi za kitz?
Shikamoo Ilasi co