Hivi ndio viwanda tunavyovizungumziaKampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH , sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.
Ushushwaji wa bei za bus kutoka DAR COACH haupunguzi ubora wake, isipokuwa ubora umeongezwa Mara dufu.
Ushushwaji wa bei ya bus kutoka DAR COACH umesababishwa na kampuni ya SCANIA kuiamini DAR COACH na kuamini ubora wa kazi zake katika chassis za scania hivyo kuamua kutoa PUNGUZO kubwa sana la bei za chassis zake model mpya 95 kwa DAR COACH.
Kwa bei hiyo ya chassis za scania, sasa hakuna haja ya kufuata bus China kwasababu utapata bus yenye sifa zifuatazo
1.full AC
2.fridge
3.luxury seats
4.automatic doors
5.automatic boot doors
6.luxury interior
7. 7 tv's
8.zhongtong body/Crystal body/Diamond body
Kwa bei ya U.S.D $217,000/= tu hapahapa nchini .
Body by higer, scania touring
Hakumodify yutong,ila kipindi kile yutong f11 zinatoka takribani mwaka 2011 alizinunua kama tatu hivi ili kuonja ladha ya mchina,matokeo yake hakuzipenda hivyo akaamua kuzifumua engine na kuweka injini za malori yakeKilimanjaro bus usigope kusema
Awali alikua ana modify youtong akaona ujinga,
Sawaya ndio kichwa cha modify malori na mabasi nchi hii.
BoxBody=dump=bus=tanker=semi=pulling=boxbody kipisi
Hili mkuu nilishangaaa sana yan cage ya kuku 4800 ni 32m kwa bongo ila china ni 8 to 10mBei ni kubwa kuliko kununua nje kwa sababu vyuma Tanzania ni ghali sana kwa hiyo lazima iwe ghali sana,ukitaka uwe na viwanda lazima chuma kiwepo kwanza na umeme wa kutosha bila hivyo utakwama tu.Mfana cages za kufugia kuku kwa bongo wanatengeneza mafundi wa kawaida tu mitaani lakini bei yake ni ghali kuliko kuchukua kutoka China na tatizo ni bei za vyuma Kwa Tz
Scania inaongoza kwa ubora na uimara kwa nchi masikini lakini sio huko duniani.......Scania kwa sasa bado ndio bus linalo ongoza kwa ubora na uimara kwahiyo bei zake ni ndefu lkn ni gari linalo himili safari
Sasa mbona wamecopy sura ya bus za kichina tenaHivi imewezekana vipi kwamba huu uzi hauna hata picha ya hilo bus la 217,000$?
View attachment 503534
Mbona kimbinyiko zina miaka 6 hazijabadilishwa engine wala boxHapo kinachofanya bei iwe juu ni chasis na engine ni vya scania F95HB310 ni engine ya kisasa inayotumia mafuta vzr kwa pungufu ya 30% ukilinganisha na zile scania 113 series, na zinadumu kwa muda mrefu ni tofaut na engine za kichina ambazo zikikaa miaka 2-3 lazima ubadilishe uweke mashine, gear box na difu ya scania
Kwa uzi huu tunaongelea scania na mabus ya kichina nchini TanzaniaScania inaongoza kwa ubora na uimara kwa nchi masikini lakini sio huko duniani.......
Jaribu kufuatilia kwa ukaribu mkuu maana kwenye Uzi huu tunaelimishanaMbona kimbinyiko zina miaka 6 hazijabadilishwa engine wala box
hehehehe we bwana unahatariHakumodify yutong,ila kipindi kile yutong f11 zinatoka takribani mwaka 2011 alizinunua kama tatu hivi ili kuonja ladha ya mchina,matokeo yake hakuzipenda hivyo akaamua kuzifumua engine na kuweka injini za malori yake
thubutuuu hizo f12 hazina miaka sita tangu ziingieMbona kimbinyiko zina miaka 6 hazijabadilishwa engine wala box
kila mtu na mapenzyake, abiria wanapenda gari za kichina sababu ya uluxury wake ndio maana hata dar coach wameliona hiloIngawa hiyo bei unapata Youtong mbili kaliiii, Ila Scania ni gari imara sana
mkuu falcon hivi zile bus zainabu ilikua miaka ya 2000 mwanzoni zilikua aina ya volvo zilipoteleaga wapi??kila mtu na mapenzyake, abiria wanapenda gari za kichina sababu ya uluxury wake ndio maana hata dar coach wameliona hilo
wamiliki waliamua kubadili biashara mkuumkuu falcon hivi zile bus zainabu ilikua miaka ya 2000 mwanzoni zilikua aina ya volvo zilipoteleaga wapi??