Yap!! Walibadili rear engine ikawa front engine.Mkuu uko deep,inamaanisha walivua body za tsk injini nyuma wakavalisha kwenye chasisi za Scania injini mbele?
They are now coming
Nashauri wafikirie kutengeneza components za kwao badala ya kutumia za kuagiza, sina uhakika kama watakuwa wameweka virekebishio vya ulalo wa viti toka China au Ulaya, wanaweza kuweka vitu visivyodumu halafu tukarudi kuleee tulikokwepa.
Kadhalika nashauri speaker ndani ya basi ziwe na controls ili mteja asiyependa kelele apunguze mwenyewe au kuzima kabisa
Ah hii si sawa.. sasa mtu akiamua ashushe tu sound kwa interest zake si italeta shida
Ha ha haaa ninyi watu mnatafuta kujiteka kisha ndugu zenu waanze kulalamika wakati marehemu ndiye alikuwa mchokoziMm nikikaa kwenye Eicher tuu napitiliza kituooo,
Nikipanda hilo hakikaa naweza nipitilize mpk mbinguni,
Unashtuka paaaap upo kwa mzee baba anachochea moto pembeni unamuona magu ameshkiwa counter book quire 5 anasomewa mashtaka,
Nitakachoomba ni tender ya kuchochea kuni moto usipunguee.
Kwani Yutong, Zhongtong, Higer, Marcopolo, Irzar si wanafanya hikohiko tu wanachukua chasis kwingine na kuunda body. Hebu tupende vya nyumbani, kazi wanayofanya haina tofauti na haoKiuhalisia hawajaunda bali wameunganisha (assembling) siku hizi kila kitu kiko Internet... Ukishakuwa na engine na chassis.. Kinachofuatia unachagua shape ya body unayotaka... Baada ya hapo unachounda ni body frame tuu... Vingine vyote vinavyofuatia unafunga na kupachika.. Vilishatengenezwa... Siku hizi hakuna ubunifu tena