Dar coach hapa tuwape pongezi jamani

Ubunifu wa hali ya juu sana. Naipongeza hii kampuni kwa jinsi wanavyo boresha mahitaji ya sisi wasafiri wa mabus.

Tanzania ya viwanda bora inawezekana.
 
Shida sio kumiliki kitu kipya alafu kizuri,shida ya sisi waafrika ni kumaintain status ya kitu unapokinunua hadi baada ya muda mchache.Shida hii inatoka kwa wafanyakazi wa makampuni mpka awapokea huduma.Naomba baada ya miezi 6 unitumie picha kama hizi za leo!
 
Body inaitwa scania tanzanite......ila katika body zote walizotengeneza dar coach ,body ambayo ni nzuri sana ni body ya majinjah special CSN,CSL na BUL
 
Scania F360 opticruise hiyo. Assembled by Dar Coach. Ni ushirikiano wa Scania Tanzania na Dar Coac, Scania wanapeleka chassis Dar coach....Scania Tz wanataka kutengeneza buses hapa hapa ili kushindana na soko la basi za kichina.
 
Au ni mimi ndo sielewi? Mbona toka kitambo sana bus nyingi zenye engine na chassis za scania body zake zilikuwa zinaundwa na Dar coach? Nilichokuwa nakifahamu ni kuwa mmiliki wa kampuni let's say Arusha Express au Hai Express au whatever Express anaagiza chasis, engine na other accessories, then vikishafika kunakuwa na assemblers na kwa hapa TZ famous zaidi walikuwa ni Dar coach. Chunguza tu hata gari za Dar Express
Kiwango mkuu kiwango aka TBS
 
Bila kupoteza muda, nimepita kwenye page ya Dar coach (kampuni ya kitanzania ya kuunda bodi za mabasi) aise hawa jamaa wameunda bodi kali sana waliyoiita "tanzanite" ikiwa imevaa chasis ya scania.

Ushauri wekeni bei nzuri hili mlete upinzani kwa basi za kichina zinazozidi kuota mizizi nchini.

Pia jitahidini kufanya marketing kuwashawishi matajiri kama kina shabiby, zuberi, dar lux, sauli, dar express, klm, abood, bm, etc wanunue basi zenu....hao watasaidia kuleta chachu kwenye ushindani.

Tujivunie vya nyumbani....

Source ya picha-dar coach page, tbbView attachment 1150123View attachment 1150124View attachment 1150126View attachment 1150127View attachment 1150128View attachment 1150129View attachment 1150130

Sent from my SM-J727P using JamiiForums mobile app
Waambie Serikali wapunguze kodi za kuuza bodi zilizotengenezwa Tanzania wakashusha kodi kwa mabasi ya Kutoka nje.
 
Au ni mimi ndo sielewi? Mbona toka kitambo sana bus nyingi zenye engine na chassis za scania body zake zilikuwa zinaundwa na Dar coach? Nilichokuwa nakifahamu ni kuwa mmiliki wa kampuni let's say Arusha Express au Hai Express au whatever Express anaagiza chasis, engine na other accessories, then vikishafika kunakuwa na assemblers na kwa hapa TZ famous zaidi walikuwa ni Dar coach. Chunguza tu hata gari za Dar Express
Huu ndiyo ukweli, hao jamaa wapo muda mrefu na wamefanya kazi nyingi sana.
 
Bila kupoteza muda, nimepita kwenye page ya Dar coach (kampuni ya kitanzania ya kuunda bodi za mabasi) aise hawa jamaa wameunda bodi kali sana waliyoiita "tanzanite" ikiwa imevaa chasis ya scania.

Ushauri wekeni bei nzuri hili mlete upinzani kwa basi za kichina zinazozidi kuota mizizi nchini.

Pia jitahidini kufanya marketing kuwashawishi matajiri kama kina shabiby, zuberi, dar lux, sauli, dar express, klm, abood, bm, etc wanunue basi zenu....hao watasaidia kuleta chachu kwenye ushindani.

Tujivunie vya nyumbani....

Source ya picha-dar coach page, tbbView attachment 1150123View attachment 1150124View attachment 1150126View attachment 1150127View attachment 1150128View attachment 1150129View attachment 1150130

Sent from my SM-J727P using JamiiForums mobile app
CHUMA KIMESIMAMA SI MCHEZO.. THIS IS BRILLIANT, KWELI TUNAELEKEA PAZURI. I CAN ALSO RECOMMEND
 
Kwenye body tupo vizuri mkuu, kuna gari za utalii ukiambiwa body zake zinaundwa Bongo unaweza kukataa
I HOPE TUTAFIKA SEHEMU STAHIKI TU. KUNA KAMPUNI ARUSHA KAMA SIJAKOSEA YA WAHINDI WANAFUMA BODY ZA MAGARI YA TOURS AISEE NI MUSHKELI, BHALAA SANA!!
 
Yanadumu sana ila tatizo ni bei yake. Wakiweka bei kama kina Yutong na wenzake lazima atasumbua kiasi.

Je anaweza tengeneza oda ngapi kwa mapema?
Hawezi akaweka bei sawa na youtong maana magari yake ni chuma imara tofauti na mchina,, ukiuziwa Gari ya mchina m 200 na mwenzako akanunu scania ya m 400 Mwenye scania atadunda mchina akienda sana miaka m3 scania miaka 15 ni kawaida hadi 20
 
Mm nikikaa kwenye Eicher tuu napitiliza kituooo,
Nikipanda hilo hakikaa naweza nipitilize mpk mbinguni,
Unashtuka paaaap upo kwa mzee baba anachochea moto pembeni unamuona magu ameshkiwa counter book quire 5 anasomewa mashtaka,
Nitakachoomba ni tender ya kuchochea kuni moto usipunguee.
ameen ameeen ameeeen ameeeeen
 
Mkuu uko deep,inamaanisha walivua body za tsk injini nyuma wakavalisha kwenye chasisi za Scania injini mbele?
CSN na CSL ni bodi za Volvo zamani ziliitwa TSK zilikuwa engine nyuma. Hiyo BUL ni bodi ya IRIZAR hakuna mkono wa Dar coach hapo
 
Napenda sana sauti ya SCANIA hasa linaposhika kasi.
Ikiwa kwenye mwendo hua inapiga mruzi nadhani ni turbo inakua inafanya kazi hua najiskia poa balaa.
Vizuri sana Dar Coach.
 
Mimi nikilikuta stand hilo bus,sipandi lingine na siulizi bei ya nauli maana ntajisikia raha Sana kupanda Tanzanite
Kabisa mwanangu.... Nyumbani kwanza
Niwakati jamii zetu Sisi watu weusi kuanza kujitambua na kujivunia km walivyo waarabu ,wahindi na wayahudi....
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom