Dar coach hapa tuwape pongezi jamani

Bila kupoteza muda, nimepita kwenye page ya Dar coach (kampuni ya kitanzania ya kuunda bodi za mabasi) aise hawa jamaa wameunda bodi kali sana waliyoiita "tanzanite" ikiwa imevaa chasis ya scania.

Ushauri wekeni bei nzuri hili mlete upinzani kwa basi za kichina zinazozidi kuota mizizi nchini.

Pia jitahidini kufanya marketing kuwashawishi matajiri kama kina shabiby, zuberi, dar lux, sauli, dar express, klm, abood, bm, etc wanunue basi zenu....hao watasaidia kuleta chachu kwenye ushindani.

Tujivunie vya nyumbani....

Source ya picha-dar coach page, tbbView attachment 1150123View attachment 1150124View attachment 1150126View attachment 1150127View attachment 1150128View attachment 1150129View attachment 1150130

Sent from my SM-J727P using JamiiForums mobile app


Kwenye finishing bado kidogo, hebu tazama nyuma ya bus kwenye makutano ya kioo kwa chini na bodi, painting quality haijakidhi viwango
 
Bila kupoteza muda, nimepita kwenye page ya Dar coach (kampuni ya kitanzania ya kuunda bodi za mabasi) aise hawa jamaa wameunda bodi kali sana waliyoiita "tanzanite" ikiwa imevaa chasis ya scania.

Ushauri wekeni bei nzuri hili mlete upinzani kwa basi za kichina zinazozidi kuota mizizi nchini.

Pia jitahidini kufanya marketing kuwashawishi matajiri kama kina shabiby, zuberi, dar lux, sauli, dar express, klm, abood, bm, etc wanunue basi zenu....hao watasaidia kuleta chachu kwenye ushindani.

Tujivunie vya nyumbani....

Source ya picha-dar coach page, tbbView attachment 1150123View attachment 1150124View attachment 1150126View attachment 1150127View attachment 1150128View attachment 1150129View attachment 1150130

Sent from my SM-J727P using JamiiForums mobile app
Kiuhalisia hawajaunda bali wameunganisha (assembling) siku hizi kila kitu kiko Internet... Ukishakuwa na engine na chassis.. Kinachofuatia unachagua shape ya body unayotaka... Baada ya hapo unachounda ni body frame tuu... Vingine vyote vinavyofuatia unafunga na kupachika.. Vilishatengenezwa... Siku hizi hakuna ubunifu tena
 
'siku nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali'

kuna kampuni muundaji mzuri wa boti na meli. nadhani linaitwa Songoro kama sikosei. aisee kumbe tunaweza, sema tu ufahamu wetu tumeumbiwa kuthamini vya nje.

heko wazalendo, soon tutaendesha na magari ya kifaru toka lile kampuni letu kama litafufuliwa.

kuna haja mamlaka za ubora, costech kutupia jicho kwa wagunduzi na mafundi wenye nia ili waisogeze Tz katika aina nyingine ya uchumi kwa kupunguza mlolongo wa vikwazo na masharti.

yaani wagunduzi wajengewe uwezo+mitaji na wapewe kila msaada unaohitajika kutimiza ndoto zao kisha kazi (vilivyokamilika) wapewe wengine kuendeleza mchakato wa ubora, leseni, vibali na kusaka masoko. tumepoteza mawazo mengi kwenye ugunduzi wa helikopta, meli, magari, ndege/drones kwa wagunduzi kukosa vigezo vya mamla ikiwemo kubwa la mitaji.

cc. VETA
cc. SIDO
Hao wenye hizo Kampuni sidhani km ni Citizens wa Afrika.
 
SAIBABA wabadilishe magari yao mabovu sana ukitoka dar saa 3 asubuhi unafika moshi saa 6 usiku...... waambieni wawache uduwanzi. USITUWEKEE HABARI ZA AJABU HAPA NENDA KAZUNGUMZE NA WATU WA SAIBABA WAACHE UDUWANZI.
 
SAIBABA wabadilishe magari yao mabovu sana ukitoka dar saa 3 asubuhi unafika moshi saa 6 usiku...... waambieni wawache uduwanzi. USITUWEKEE HABARI ZA AJABU HAPA NENDA KAZUNGUMZE NA WATU WA SAIBABA WAACHE UDUWANZI.
Haaahaaa
Hawa jamaa mabasi yao ni maalumu kwa ajili ya wananchi wachelewaji. Ukiwa na uharaka bora upande Machame, Ngorika au Kidia
 
They are now coming

Nashauri wafikirie kutengeneza components za kwao badala ya kutumia za kuagiza, sina uhakika kama watakuwa wameweka virekebishio vya ulalo wa viti toka China au Ulaya, wanaweza kuweka vitu visivyodumu halafu tukarudi kuleee tulikokwepa.

Kadhalika nashauri speaker ndani ya basi ziwe na controls ili mteja asiyependa kelele apunguze mwenyewe au kuzima kabisa
mwanzo wa safari ni hatua. bilashaka watazingatia huu ushauri. kikubwa tuwajenge kiimani kuwa wameweza.
 
Au ni mimi ndo sielewi? Mbona toka kitambo sana bus nyingi zenye engine na chassis za scania body zake zilikuwa zinaundwa na Dar coach? Nilichokuwa nakifahamu ni kuwa mmiliki wa kampuni let's say Arusha Express au Hai Express au whatever Express anaagiza chasis, engine na other accessories, then vikishafika kunakuwa na assemblers na kwa hapa TZ famous zaidi walikuwa ni Dar coach. Chunguza tu hata gari za Dar Express
 
mkuu umeua
Mm nikikaa kwenye Eicher tuu napitiliza kituooo,
Nikipanda hilo hakikaa naweza nipitilize mpk mbinguni,
Unashtuka paaaap upo kwa mzee baba anachochea moto pembeni unamuona magu ameshkiwa counter book quire 5 anasomewa mashtaka,
Nitakachoomba ni tender ya kuchochea kuni moto usipunguee.
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom