figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Wakazi Sinza Kamanyola wanaoishi karibu na mto Ng'ombe, wanashindwa kutoka nje usiku kuwepo chatu. Inadaiwa chatu huyo aliyeletwa na mvua.
Bi. Asha Kondo amesema mwanae ndo alimuona huyo chatu.
Hivyo watu wanakaa kwa hofu sana na wametakiwa kuwa makini.
Watu wa maliasili wamefika sehemu ya tukio kumtafuta chatu huyo. Hii kazi ilitakiwa ianze Jumatatu. Watu wa Sinza wameshauriwa kutoa taarifa mapema watakapomuona chatu huyo.