Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Kuna mjadala unaendelea TBC kama Je Dar es salaam bila dalali inawezekana??(Dalali wa nyumba za Kupanga) kila mtu ana mtazamo wake lakini binafsi mimi naona hawa local Brokers ni tatizo sana.
na mpangaji akaziangalie akiridhika na nyumba na terms wawasiliane
Sijui wana JF mna maoni gani hapo??
- Wanakula kwa mpangaji na mpangishaji(unalipa miezi 13 badala ya 12 na Landlord anapokea kodi ya miezi 11 badala ya 12)
- Wanapangisha double double kwa tamaa
- Wanaonyesha nyumba iliyopangishwa tayari(Hawapo tayari siku ipite bila kupata chochote hata kwa ulaghai
- Wanakuza bei ili maslahi yao yaboreke
- Si wakweli na ni wasumbufu sana
- Not Registered.Not Lincesed,Hawalipi kodi,incase of complaints anahama kijiwe na kubadili namba na wenzake wanamlinda...kama wapiga debe wa ubungo tu!
na mpangaji akaziangalie akiridhika na nyumba na terms wawasiliane
Sijui wana JF mna maoni gani hapo??