DAR: Benki za nje zenye matawi yake Tanzania, huenda "zikafungasha virago" baada ya Sheria mpya ya Madini kuzibana

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,807
11,969
Benki za nje zenye matawi yake Tanzania, huenda "zikafungasha virago" kuondoka nchini kufuatia sheria mpya ya madini.

Uchunguzi umebaini kuwa benki hizo zilikuwa zikitunza na kufanya miamala mikubwa ya kampuni za madini, ambapo sasa sheria mpya ya madini inazuia.

Sheria hiyo ya madini iliyoshadidiwa na kubebewa bango na Rais John Magufuli, inakataza benki za nje, zinazimiliiwa kwa hisa kubwa na watu binafsi au kampuni kutoka nje kutumiwa na kampuni za madini.

Lengo kubwa la sheria hii, ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na mwanya wa kufuatilia mapato halali ya madini na kodi inayolipwa kwa serikali.

Benki zinazoonekana kuathirika zaidi ni pamoja na Barclays, Standard Chartered na FNB.

Sheria hiyo iliyoanza kutumika mwaka huu, ibara ya 49 (2) imaeleza adhabu kwa yeyote atakayebainika kutenda kosa kinyume na sheria hii atatozwa faini Kati ya Shilingi Milioni 100 hadi Milioni 250 au kifungo cha miaka mitano jela au vyote kwa pamoja
 
Benki za nje zenye matawi yake Tanzania, huenda "zikafungasha virago" kuondoka nchini kufuatia sheria mpya ya madini.

Uchunguzi wa Jamiiforums umebaini kuwa benki hizo zilikuwa zikitunza na kufanya miamala mikubwa ya kampuni za madini, ambapo sasa sheria mpya ya madini inazuia.

Sheria hiyo ya madini iliyoshadidiwa na kubebewa bango na Rais John Magufuli, inakataza benki za nje, zinazimiliiwa kwa hisa kubwa na watu binafsi au kampuni kutoka nje kutumiwa na kampuni za madini.

Lengo kubwa la sheria hii, ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na mwanya wa kufuatilia mapato halali ya madini na kodi inayolipwa kwa serikali.

Benki zinazoonekana kuathirika zaidi ni pamoja na Barclays, Standard Chartered, FNB na Access Bank.

Sheria hiyo iliyoanza kutumika mwaka huu, ibara ya 49 (2) imaeleza adhabu kwa yeyote atakayebainika kutenda kosa kinyume na sheria hii atatozwa faini Kati ya Shilingi Milioni 100 hadi Milioni 250 au kifungo cha miaka mitano jela au vyote kwa pamoja
Manake faini ndio imekuwa njia ya kuingiza mapato
 
Well said
Lakini haziwezi kuondoka kwao hamna kitu bila sisi!
Investors bado wanakuja kwa wingi sana na Serikali ilivyo hamia Dodoma, ni Heaven of Peace kwa wafanya biashara walahi..
Kama sector zipi mkuu zinazokuja kwa wingi weka na mifano kuipa uzito kwani bank hizi ni za zamani
 
Kama sector zipi mkuu zinazokuja kwa wingi weka na mifano kuipa uzito kwani bank hizi ni za zamani
Kuna nyingi mpya ambazo zinaingia kutoka Kuwait, Iran na kwingine kwingi ambako kuna utajiri wa asilia, ndiyo maana tukawa na ubavu wa kuwapa choice either wafuate au waondoke, lakini hawana ubavu wa kuondoka The World needs Afrika na Nchi yetu ni ya kwanza kwa amani! Kenya wana vyo vurugana, sisi ndiiyo hivyo tena KUFA KUFAANA.
Maji kuyaona kwa mbali na maji ambayo uko ndani unaogelea ni tofauti kubwa!
 
Kuna nyingi mpya ambazo zinaingia kutoka Kuwait, Iran na kwingine kwingi ambako kuna utajiri wa asilia, ndiyo maana tukawa na ubavu wa kuwapa choice either wafuate au waondoke, lakini hawana ubavu wa kuondoka The World needs Afrika na Nchi yetu ni ya kwanza kwa amani! Kenya wana vyo vurugana, sisi ndiiyo hivyo tena KUFA KUFAANA.
Maji kuyaona kwa mbali na maji ambayo uko ndani unaogelea ni tofauti kubwa!
Taja majina sio nchi, hizo ni propaganda mkuu usitegemee utawala huu investors kuja wanaongea tu ungenipa mfano tu kampuni gani na gani acha zilizopo ambazo hazina muda zinafunga virago
 
Hakuna investors wa maana waliokuja kuwekeza hapa hasa kwa miaka miwili iliyopita, ni propaganda tu ndio nyingi ili kuchanganya akili za watu.

Kama huamini, angalia ktk zile rankings za "Ease of Doing Business" tuko nafasi ya ngapi, ndipo utapata jibu.

Hatuko vizuri hata kidogo, ni yowe tu ndio nyingi wakati ukweli ni kuwa uchumi wetu hauonyeshi dalili za kutia matumaini, hasa kwa siku za usoni. We're doing too much politicking at the expense of development.
 
Tanzania hakuna benki ya nje hata moja. Sheria ya benki inazuia benki za nje kufungua matawi ya benki. Badala yake wanatakiwa kuingiza mitajinna kufungua benki kamili zinazojitegemea. Unachokiona kuwa benki ya nje ni brand names ambazo zinalipiwa na quality management ambayo pia inalipiwa. Balance sheet ya hiyo benki ya nje haiunganishwi na balance sheet ya benki mama. Mfano Barclays ilipofungua benki tz ilifungua kama benki kamili sio tawi.
 
Nadhani hujaielewa vizuri hiyo sheria mpya. Ngoja ni kupe info
1. Bank yoyote inayofanya kazi Tanzania, iwe ya nje au ya ndani, lazima isajiliwe Tanzania.

2. Kabla ya hiyo sheria, Madini yalipokuwa yanauzwa. Malipo yalikiwa yanafanyikia nje ya nchi. Nikimaanisha hela hazitui Tanzania na serikali inashindwa kufuatilia hiyo miamala.

So, sheria hii inachotaka, mauzo yote ya madini, yalipwe kutumia benki zilizopo na zilizo sajiliwa Tanzania. Refer kwenye point ya kwanza.

Kwanini imewekwa hii sheria.
Mauzo ya madini yalikuwa yanafanyika juu kwa juu, Tanzania hatuambulii cha maana. Bank zetu haziingizi faida ya hayo mauzo.

Ndo maana kuna jitihada pia za kuhakikisha minada ya madini ifanyike Tanzania.

Kabla ya hapo, jamaa walikuwa wanachukua madini, wanaenda kuuza mbele kwa mbele, ingawa maybe Tanzania ilikuwa inapata kodi ya madini, bank zetu zilikuwa haziingizi chochote.

Na pia hata hiyo kodi ilikuwa hakieleweki maana kwa kuwa mauzo yalikuwa yanafanyikia huko, sisi tunapewa tu taarifa yameuzwa kwa kiasi gani. Ambapo kwa asilimia kubwa walikuwa wanatoa taarifa za uongo.
 
Nadhani hujaielewa vizuri hiyo sheria mpya. Ngoja ni kupe info
1. Bank yoyote inayofanya kazi Tanzania, iwe ya nje au ya ndani, lazima isajiliwe Tanzania.

2. Kabla ya hiyo sheria, Madini yalipokuwa yanauzwa. Malipo yalikiwa yanafanyikia nje ya nchi. Nikimaanisha hela hazitui Tanzania na serikali inashindwa kufuatilia hiyo miamala.

So, sheria hii inachotaka, mauzo yote ya madini, yalipwe kutumia benki zilizopo na zilizo sajiliwa Tanzania. Refer kwenye point ya kwanza.

Kwanini imewekwa hii sheria.
Mauzo ya madini yalikuwa yanafanyika juu kwa juu, Tanzania hatuambulii cha maana. Bank zetu haziingizi faida ya hayo mauzo.

Ndo maana kuna jitihada pia za kuhakikisha minada ya madini ifanyike Tanzania.

Kabla ya hapo, jamaa walikuwa wanachukua madini, wanaenda kuuza mbele kwa mbele, ingawa maybe Tanzania ilikuwa inapata kodi ya madini, bank zetu zilikuwa haziingizi chochote.

Na pia hata hiyo kodi ilikuwa hakieleweki maana kwa kuwa mauzo yalikuwa yanafanyikia huko, sisi tunapewa tu taarifa yameuzwa kwa kiasi gani. Ambapo kwa asilimia kubwa walikuwa wanatoa taarifa za uongo.

Tutafika tu, mwanzoni tulipewa propaganda za kuwa mizigo imepungua bandarini wafanyabiashara wameikimbia bandari. Sasa hivi mizigo bwelele, shits nne zinafanyika usiku kucha, juzi nilikuwa Sea Cliff nikaona mlolngo wa meli ziko baharini zinasubiri kutia nanga kukushusha mzigo. MAGU kaza buti, watakuelewa tu, huku kunaitwa Mtakuja.
 
Nadhani hujaielewa vizuri hiyo sheria mpya. Ngoja ni kupe info
1. Bank yoyote inayofanya kazi Tanzania, iwe ya nje au ya ndani, lazima isajiliwe Tanzania.

2. Kabla ya hiyo sheria, Madini yalipokuwa yanauzwa. Malipo yalikiwa yanafanyikia nje ya nchi. Nikimaanisha hela hazitui Tanzania na serikali inashindwa kufuatilia hiyo miamala.

So, sheria hii inachotaka, mauzo yote ya madini, yalipwe kutumia benki zilizopo na zilizo sajiliwa Tanzania. Refer kwenye point ya kwanza.

Kwanini imewekwa hii sheria.
Mauzo ya madini yalikuwa yanafanyika juu kwa juu, Tanzania hatuambulii cha maana. Bank zetu haziingizi faida ya hayo mauzo.

Ndo maana kuna jitihada pia za kuhakikisha minada ya madini ifanyike Tanzania.

Kabla ya hapo, jamaa walikuwa wanachukua madini, wanaenda kuuza mbele kwa mbele, ingawa maybe Tanzania ilikuwa inapata kodi ya madini, bank zetu zilikuwa haziingizi chochote.

Na pia hata hiyo kodi ilikuwa hakieleweki maana kwa kuwa mauzo yalikuwa yanafanyikia huko, sisi tunapewa tu taarifa yameuzwa kwa kiasi gani. Ambapo kwa asilimia kubwa walikuwa wanatoa taarifa za uongo.
Bora umefafanua mkuu maana jamaa alitaka kutuingiza chaka
 
Kuna nyingi mpya ambazo zinaingia kutoka Kuwait, Iran na kwingine kwingi ambako kuna utajiri wa asilia, ndiyo maana tukawa na ubavu wa kuwapa choice either wafuate au waondoke, lakini hawana ubavu wa kuondoka The World needs Afrika na Nchi yetu ni ya kwanza kwa amani! Kenya wana vyo vurugana, sisi ndiiyo hivyo tena KUFA KUFAANA.
Maji kuyaona kwa mbali na maji ambayo uko ndani unaogelea ni tofauti kubwa!
Acha kujidanganya jomba, nchi yako Ni ya kwanza kwa amani wapi? Umewahi kutoka nje ya TZ ukaona nchi zingine?
 
Nadhani hujaielewa vizuri hiyo sheria mpya. Ngoja ni kupe info
1. Bank yoyote inayofanya kazi Tanzania, iwe ya nje au ya ndani, lazima isajiliwe Tanzania.

2. Kabla ya hiyo sheria, Madini yalipokuwa yanauzwa. Malipo yalikiwa yanafanyikia nje ya nchi. Nikimaanisha hela hazitui Tanzania na serikali inashindwa kufuatilia hiyo miamala.

So, sheria hii inachotaka, mauzo yote ya madini, yalipwe kutumia benki zilizopo na zilizo sajiliwa Tanzania. Refer kwenye point ya kwanza.

Kwanini imewekwa hii sheria.
Mauzo ya madini yalikuwa yanafanyika juu kwa juu, Tanzania hatuambulii cha maana. Bank zetu haziingizi faida ya hayo mauzo.

Ndo maana kuna jitihada pia za kuhakikisha minada ya madini ifanyike Tanzania.

Kabla ya hapo, jamaa walikuwa wanachukua madini, wanaenda kuuza mbele kwa mbele, ingawa maybe Tanzania ilikuwa inapata kodi ya madini, bank zetu zilikuwa haziingizi chochote.

Na pia hata hiyo kodi ilikuwa hakieleweki maana kwa kuwa mauzo yalikuwa yanafanyikia huko, sisi tunapewa tu taarifa yameuzwa kwa kiasi gani. Ambapo kwa asilimia kubwa walikuwa wanatoa taarifa za uongo.
Umeelezea vizuri, maana alishaanza kupotosha uyu kibaraka.

Hongera mkuu.
 
Nadhani hujaielewa vizuri hiyo sheria mpya. Ngoja ni kupe info
1. Bank yoyote inayofanya kazi Tanzania, iwe ya nje au ya ndani, lazima isajiliwe Tanzania.

2. Kabla ya hiyo sheria, Madini yalipokuwa yanauzwa. Malipo yalikiwa yanafanyikia nje ya nchi. Nikimaanisha hela hazitui Tanzania na serikali inashindwa kufuatilia hiyo miamala.

So, sheria hii inachotaka, mauzo yote ya madini, yalipwe kutumia benki zilizopo na zilizo sajiliwa Tanzania. Refer kwenye point ya kwanza.

Kwanini imewekwa hii sheria.
Mauzo ya madini yalikuwa yanafanyika juu kwa juu, Tanzania hatuambulii cha maana. Bank zetu haziingizi faida ya hayo mauzo.

Ndo maana kuna jitihada pia za kuhakikisha minada ya madini ifanyike Tanzania.

Kabla ya hapo, jamaa walikuwa wanachukua madini, wanaenda kuuza mbele kwa mbele, ingawa maybe Tanzania ilikuwa inapata kodi ya madini, bank zetu zilikuwa haziingizi chochote.

Na pia hata hiyo kodi ilikuwa hakieleweki maana kwa kuwa mauzo yalikuwa yanafanyikia huko, sisi tunapewa tu taarifa yameuzwa kwa kiasi gani. Ambapo kwa asilimia kubwa walikuwa wanatoa taarifa za uongo.

Zaidi ni hisia. Hakuna uthibitisho wowote mpaka sasa unaonesha walikuwa wanadanganya. Wasomi hatustahili kuishi kwa hisia bali kwa vielelezo. Mpaka sasa tumeshindwa kuishtaki hata kampuni moja kuwa iliwahi kudanganya.
 
Zaidi ni hisia. Hakuna uthibitisho wowote mpaka sasa unaonesha walikuwa wanadanganya. Wasomi hatustahili kuishi kwa hisia bali kwa vielelezo. Mpaka sasa tumeshindwa kuishtaki hata kampuni moja kuwa iliwahi kudanganya.
Yes tunajua tunaibiwa ila ushahidi hatuna. Ila je ni bora kuchukua hatua baada ya kugundua unaibiwa au kuchukua hatua kuzuia kuibiwa?

Prevention is better than cure. Kama wewe msomi utakuwa unalijua hilo. Zaidi ya hapo ni ubishi tu.
 
Back
Top Bottom