KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,574
- 8,592
Basi la Kampuni ya Dar Express limeungua maeneo ya Bunju hakuna taarifa za majeruhi
=====
Basi la 'Dar Express' likitokea mkoani kuja Dar es salaam, linateketea kwa moto muda huu eneo la Bunju jijini Dar es Salaam.
Kikosi cha zimamoto kinaendelea na zoezi la uzimaji sasa, chanzo cha moto bado hakijajulikana.
=====
Basi la 'Dar Express' likitokea mkoani kuja Dar es salaam, linateketea kwa moto muda huu eneo la Bunju jijini Dar es Salaam.
Kikosi cha zimamoto kinaendelea na zoezi la uzimaji sasa, chanzo cha moto bado hakijajulikana.