Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,806
Mwagona mwana wipaMimi ndiyo napona leo, nusu nife aisee...
Mafua makali, kifua, Homa kali,...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Mwagona mwana wipaMimi ndiyo napona leo, nusu nife aisee...
Mafua makali, kifua, Homa kali,...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Kama huna hela mji unakuchapa vibayaMi nilihama dar kwa sababu ni sehemu isiyo salama kuishi mwanadamu. Hata Magufuli ameshtuka kahamia Dodoma. Huo mji ni mchafu sana umejaa maradhi na kila aina ya vihatarishi kwa afya ya binadamu.
Hewa chafu, joto kali, msongamano mkubwa wa watu, miundombinu mibovu, makazi holela sijui watu wanapapendea nn Dar. Asilimia 90 ya Dar ni Slums
Hata kademu kangu hapo jiji aliumwa kweli malaria Kali poleni. Nimri wafanye tafitiMimi ndiyo napona leo, nusu nife aisee...
Mafua makali, kifua, Homa kali,...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Pia kuna ukweli katika ilo unajua wamagharibi kuna kitu wanakiita biological weapon yn anatumia siraha za kibaiolojia kukumaliza ss majaribio yao huwa wanafanya uku Afrika mfano Ebola Dengue HIV and the likes of thatKabudi na kaka yake wakisikia watasema ni njama za mabeberu kutupiga vita vya kiuchumi baada ya kuona tunanunua ndege kwa mpigo wanasingizia tuna malaria.
Tuunge mkono juhudi!
Dah! Ninakama wiki tangia niugue hivi viugonjwa ambavyo vilichukua zaidi ya wiki mbili.Kupitia Mitandao ya Kijamii, baadhi ya Watu katika maeneo ya Jiji la Dar wamekuwa wakilalamika kupatwa na ugonjwa ambao dalili zake zinaendana na zile za Malaria.
Baadhi yao wanasema dalili za ugonjwa huo ambao umewapata watu wengi katika maeneo wanayoishi ni pamoja na Kikohozi, Mafua, Maumivu ya Kichwa na Homa Kali.
Baadhi ya maeneo ambayo watu wameonekana kulalamika zaidi kuhusu Ugonjwa huo ni pamoja na Kimara, Sinza, Ubungo, Kigogo jijini Dar es Salaam.
JamiiForums imewasiliana na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na ameeleza kuwa Wizara yake kupitia Timu inayofanya Ufuatiliaji wa Magonjwa inafuatialia suala hilo na itatoa ufafanuzi mapema iwezekanavyo.
Inashauriwa unapopata dalili za Malaria uasiende duka la dawa na kununua dawa na kuanza kunywa, nenda hospitali ukafanyiwe vipimo na daktari.
Ndg zanguni msiombee hali hii iwakute ni hatari sana,mimi binafsi tatizo hili lilianza Ijumaa hii ya majuzi,kichwa macho kwa ndani vinauma mfano wa jua limewekwa kichwani,huku kifua kukohoa,mafua ya maji maji na mzigo wa homa juu dadeki,kimazoea nikajua hii ni maleria nikajigongea Orodar zangu na panadol,hapo nikazidiwa zaidi,nikajongea bafuni na homa yangu kali nikajaza sink maji top nikajimwaya humo kwa saa limoja nilatoka nikajipumzisha kitandani.nashukuru mungu jumatatu ya leo nimeweza kwenda kazini kama kawaida lakini kichwa bado bado kinani beep beep.Alhamdullilah
n.b.Katika siku zote tatu nilijitahidi sana kula matunda mengi ya aina mbalimbali na maji mengi sana.