🤣 🤣 🤣Dah-Kuna maswali huwa mtu akiuliza yanazalisha maswali mengi sana juu ya competence ya mtu anayeuliza 🤣🙌🙌🙌🤣Naona umeamua kuhubiri kabisa!. haya uliyoandika ndio tunayoyasikia kila uchwao huko makanisani,barabarani na kwenye vituo vya mabasi. Kama karama na vipawa vimetolewa kwa watu, Hao mapadre na makanisa yao kazi yao hasa ni nini?... Kukusanya sadaka?.