mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,113
- 6,307
Hapo kuna mengi ya mambo yaliyoingiliana na kuivuruga kabisa saikolojia ya huyo muuwaji!
Chanzo huenda ni kuadhibu mtoto kwa nia njema, sasa baada ya kugundua kaua, ndiyo hivyo vipande vingine vya mnyororo vikajiunga.
seriously kabisa eti kumuadhibu mtoto wa miaka 2?
Kwa mtazamo wangu mtoto wa miaka 2 hastahili kuadhibiwa kwa kipigo