Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
Hakuvaa Bakabaka, alivaa plain gwanda.Nyerere alikuwa anavaa hizo nguo hata alipotutembelea kule Mutukula alizivaa,
Hakuvaa Bakabaka, alivaa plain gwanda.Nyerere alikuwa anavaa hizo nguo hata alipotutembelea kule Mutukula alizivaa,
Acha hizo mzee, yule anaweza kuwa hata mamaako.Wasije kumvalisha bukta siku akienda taifa kuangakia mpira yarabi toba Mungu apishilie mbali
Hii ya the Sukuma gang is a myth...ila Kuna gang ya ukweli ambayo imeitafuna nchi hii kwa miaka mingi tangu enzi za Nyerere mpaka JK...gang hili lilijazana TRA, Hazina, Bandari na sekta zote za umma zenye fedha...utajiri walio nao ni wa wizi wa Mali za umma...alipokuja JPM akasawazisha mambo kwa kiasi Fulani na ndipo yakaanza kulia...gang hili lilikuwa halilipi Kodi na hata tenda za serikali yalikuwa yanapeana yenyewe...Hilo ndilo gang la ukweli na Wala siyo the so called Sukuma gang...it is just a myth..Hili swali ungeuliza kipindi kile msukuma mwenzenu anavaa hizo gwanda tungekupa jibu!!
Sukuma Gang mna chuki
Nyerere alikuwa anavaa na hasa wakati wa Vita vya Kagera...akienda Frontline alikuwa anavaa...ila Mwinyi na Mkapa sikuwahi kuwaona kwenye military uniforms....JK nilimuona kwenye military uniforms akiwa jeshiniWalikuwa wanajielewa na kujiamini.
ni siri.Picha hamna
Gwanda na hilo tumbo nani kamshauri vibaya,
Hawakupenda au hawakuvaa tu?Hivi kwa nini Mkapa, Mwinyi & Nyerere hawakupenda kuvaa hizo gwanda.
Ukiwa Rais tu ni zaidi ya mwanajeshi.....Ukiona raisi anavaa nguo za jeshi wakati hana chembe chembe ya uanajeshi katika historia yake ujue madaraka yameshamnogea
Mimi nataka avae kama nesi....Avae kama dokta wa upasuaji
👍💪kaziiendelee mama
Duh...nimecheka Sana aisee...Katika demokrasia, jeshi linasimamiwa na kuamrishwa na utawala wa kiraia. Hivyo, Rais hahitaji kuvaa kijeshi kuthibitisha mamlaka yake.
Lakini, ndio hivyo tena, katika nchi zetu hizi ambazo wengi hufikiri jeshini ni mahali pa miguvu na mitulinga, gwanda la jeshi huwa propaganda nzuri kuwaonyesha wananchi kuwa Rais naye ana maguvu kama au kumzidi CDF! A nice gimmick for weak minds.
Kwani waziri wa ulinzi anahusika na mambo ya Vita?!!!Nilikuwa namsikiliza Waziri wetu wa ulinzi Stagomera Tax akisoma risala kwa hao macammandant!!! Naamini kwa dhati kabisa kuwa Rais Samia hakushauriwa vizuri kumteua huyu mama katika nafasi hiyo; huyu mama alipaswa awe waziri wetu wa FEDHA na hapo ulinzi angeteuliwa mwanaume mwingine kwa kuzingatia mapana makubwa ya utamaduni wetu katika mambo ya vita!!!
Ilikuaje wajanja na ujanja wao wote wakakanidhi chama kwa washamba?Hii ni ccm halisi,hile ya yule chizi wenu ilikuwa ccm ya washamba,
Chama Sasa kimerudi kwa wenyewe ,na hatutokaa tufanye makosa yakuwakabidhi chama washamba na wenye roho za kishetani
#Siempre JMTLazima aende kwa jamaa kumshukuru maana bila huyu jamaa asingekuwa Rais mpk leo
Watu wa aina hii enzi za Nyerere anawapeleka huko remote areas na kukaa huko for 20 years...stupid guys...Kuwa na adabu kijana, huyo ni kama Mama au Bibi yako, ni Rais wa nchi pia. Mibangi yako haitakusaidia utapowekwa kizuizini.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ngerengere ni kambi ya CHADEMA?