Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,602
- 112,657
Hakikisha mnakua na fire extinguisher pia....
Duu!!Achaneni na wanawake,zaeni tu Kama wanyama,Mambo ya kuoana na kuishi wote ndo matokeo yake
Keyboard warriorsPole yao. Na huu ndio mwanzo tu
YeahKeyboard warriors
petrol ishuke bei kabisa,Ni mwendo wa njiti tu
Tobaaaaaaah kakauka kau kau, uwiiiiiihSasa udongo gani utameza mkuu? Unaambiwa katolewa humo ndani kama kuku wa kienyeji wa kubanikwa
Ni mkinga, aliuawa kisa Mil 4 km sikosei, jaman yule mwanaume aliumbika kwa kweli, aaaah.Yupi huyo
Kumbe Pdidy jirani yangu kabisa wewe. Kweli JF unaweza kumtusi baba yako bila kujuaNakufaaaaa neemaa nakufaaaaa nisameeheenakufaaaaaa jamaninsaidieeni kelelezamwisho.alisikika jamaaaaa kumbe neeme ashampitia visuvyamaana gaflanamoshii ukamchanganyakabisaaa
Boraaa baba..MZAZIKumbe Pdidy jirani yangu kabisa wewe. Kweli JF unaweza kumtusi baba yako bila kujua
Tatizo mtu anamuacha analala usingizi kwanza. Kisha ndo anawasha moto.wa petrol akiwa ashafunga mlango kwa.nje. Ni ngumu mtu kujiokoa. Rejea vifo vya morogoro ilipochomolewa betri wakati watu wanachota mafuta. Siyo rahisi kama unavyofikria. Kumbuka hawa wa Morogoro hapakuwepo ukuta wala dirisha, ni sehemu ya wazi. Sembuse huyu aliyefungiwa ndani!Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?
Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
25 tu mkuuZungu alikuwa ana miaka mingapi?
Moto ulianza saa saba usiku mpaka saa kumi walipokuja fire kuzima ndo mwili ukatolewa.duu!!! ilikuwa saa ngapi?
Muuza supu ya kongoro kawa maarufuHuyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya Makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawara tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba Zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.
Zungu mteremko umemponza unanunuliwaje biaHakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.
Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
Umewaza kama mimi, unachomajwe kizembe hivyoHuyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?
Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
Polen sanaHakuwa mumewe ni vimada tu na walikuwa wameshaachana ila huyu mwanamke jana akamtega dogo Zungu kwa bia za bure kisha akampeleka chumbani kwake tena kwenye nyumba anayomiliki baba yake akaenda kumtia kiberiti nilisikitika sana alitolewa mule ndani kawa kama kuku aliyebanikwa.
Zungu tunamzika saa kumi hii hapa Msakuzi makaburi ya Makamba.
Alilewa pombe wajubaUmewaza kama mimi, unachomajwe kizembe hivyo
Kwanini kifo cha aibu?Amekufa kifo cha aibu