Dar: Aliyemuua mkewe na kuuchoma mwili kwa mkaa awatisha Wanahabari

'naomi john' akaenda kuolewa na 'hamis said' kwa tamaa ya kuendesha ma-vogue na kuishi kwenye magorofa?? mwache yamkutee yaliyo mkuta kwa ujinga wake....
 
Kuna vitu unaweza kufanya ukajiona kama we mjanja kumbe ni mbugila mbugila tu,,!

Japo wanawake wana kero ila sasa hivi anajutia si bora kwenye ule ugomvi angekaa zake tu kimya ili maisha yaendelee
 
Mi naongelea huo mkwara alioupiga kuwa ataishangaza mahakama.
Usiogope mahakama nimuhimili.usijisahau ndomana walikataa kutoa kibali lisu akakamatwe ubeligiji,walijua serikali imechanganyikiwa haijielewi,dunia zima inajua anaumwa serikali haijui(kumbuka tunamihimili 3,(1)executive/dola(2)Parliament/bunge (bonge),(3)Judiciary/mahakama....,,,,,,sasa pamoja nakua nahiyo mihimili mitatu nimekupa hapo,nimuhimili mmoja tu unaojua lisu mgonjwa ...huko nikuchanganyikiwa ,mahakama hawawezi kumuazibu kwakauli hiyo kizimbani
 
Sema mimi kunakitu sielewi kuhusu upelelezi kutokamilika, huyu jamaa kwenye mahojiano alikiri kumuua mkewe, akawaeleza police alivyomuua mkewe na hadi kwenda kumzika Shambani, police walifuatilia sehemu zote hadi wakaupata mwili kama walivyoelezwa na muuaji, kisha wakatutangazia ukweli wenyewe uliyokua. Sasa ni upelelezi gani huo unaoendelea?
 
mmakonde wa ukweli huyo na awafanyie kitu mbaya si mnamsumbua yeye ameshakiri kuua na yeye apewe haki yake ya kifo tu anawashangaa mnavyoendelea kumnadi subirini akawabanike kama kitimoto
 
Kibongobongo utakuta anashinda hiyo kesi..

Kumbuka:
Hakuna lisilowezekana bongoland
 
Sasa ana uhakika gani kama atashinda kesi ya mauwaji ili aje apambane na wanahabari huku uraiani...nahisi atakuwa na mental-disorder
Yeye anadai hapohapo mahakamani anaweza 'kuwafanyizia' hao wanaomfotoa hadi mahakama isiteajabu!
 
Back
Top Bottom