Dar: Aliyemuua mkewe na kuuchoma mwili kwa mkaa awatisha Wanahabari

Huyu jamaa ni serial killer
Any way atawafanya nn waandishi aache mikwalaa, akumbuke yuko nyuma ya nondo tu na wakimleta mahakamani yuko Ndani ya bangili

Ova
 
Wakimwachia upenyo itakuwa upuuzi wao.

Huyo ni psychotic. Ameshaonyesha kasoro kichwani kwa kupiga mkwara huo mbele ya vyombo vya dola. Anatakiwa awekewe shackles za mikono na visigino.
Nashangaa anapelekwa mahakamani kama vile vibaka wa kuku ilihali jamaa anatuhuma za kumuua mkewe kinyama kisha kumchoma moto!,
 
Wengi humu mtashangaa huyo jamaa akiachiwa huru! Acheni porojo.

Maana kila mtanganyika ana PhD ya mapenzi na mahaba! Wote mlishahitimisha kuwa jamaa ni muuaji aliyeua kwa wivu wa kimapenzi.

He will be acquitted! Mtahamaki vizuri.

Mnamkera na mapicha picha yenu. He deserves privacy!

Waandishi uchwara hawa! Mapicha picha ya nini!???
 
Ndugu mshana
,Muuaji wa kikatili hivi mbona yuko salama hadi sasa...wauaji wa hivi mzimu wa marehem hua haumuachi salama...au ndo mwisho wake unakaribia
Tayari damu ya marehemu mkewe inamnukia unadhani anapata usingizi?
 
Huyu jamaa ni serial killer
Any way atawafanya nn waandishi aache mikwalaa, akumbuke yuko nyuma ya nondo tu na wakimleta mahakamani yuko Ndani ya bangili

Ova
mrangi huwa sidharau kitisho hasa cha mtu kama yeye.... Kumbuka bado yuko hai na bongo yake kwa sasa muda mwingi anawaza uovu
 
Wakimwachia upenyo itakuwa upuuzi wao.

Huyo ni psychotic. Ameshaonyesha kasoro kichwani kwa kupiga mkwara huo mbele ya vyombo vya dola. Anatakiwa awekewe shackles za mikono na visigino.

Ni kweli na nilishangaa sana mara ya kwanza aliletwa mahakamani bila pingu sijui ni ndugu yao? kama atawadhuru watu mahakamani hao Askari wawajibishwe kwa uzembe wao
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom