Dar Airport Named One of the Worst in Africa!

Kinyungu

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
17,367
33,008
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

IMG_20220419_215658.jpg


Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

Hii ni vita ya uchumi
 
Royal Tour! My foot!
Jana nilikuwa naangalia Documentary moja kupitia National Geographic Channel wakionyesha jinsi uwanjanja wa ndege wa kimataifa Dubai wanavyofanya kazi we bwana we! Watumishi kuanzia meneja wa uwanja, upakuaji na huduma ndogo ndogo wamejaa wazungu (UK, USA, nk) wanafuatia wahindi na wazawa wachache ambao hata rafudhi yao wanaonekana ni waarabu ambao wamesoma ama kuishi Sana majuu...
Kwanini tusiwape tu mabeberu wakaendeshe hizi sekta muhimu kama Bandari, viwanja vya ndege, mahoteli makubwa, nk
 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

Chato international airport je,?
 
Chato international airport je,?
Kumekuwepo kwa social media platforms na Apps za kueneza ngono hasa kwa vijana Badoo, nairobiraha, insta, Grindr je Kuna jitihada zote za kupunguza Maambukiz kwa vijana.

Maana vijana wanaloweka bila kinga. Na Kampeni za Kujikinga na UKIMWI zimesahaulika kabisa. Tunaandaa taifa la waathirika miaka 10 ijayo
Mada za level yako ni kama hii, hizo zingine subiri akili yako ikomae kidogo, sawa dogo?
 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

Wafanyyakaz wa pale wanapenda sana kupekua watu.Ukirudi na jozi mbili za viatu ni mpaka uwape rushwa eti unaenda uza
 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

Usiwaamini Mabeberu...! Fumbatia Chako..!
 
Royal Tour! My foot!
Jana nilikuwa naangalia Documentary moja kupitia National Geographic Channel wakionyesha jinsi uwanjanja wa ndege wa kimataifa Dubai wanavyofanya kazi we bwana we! Watumishi kuanzia meneja wa uwanja, upakuaji na huduma ndogo ndogo wamejaa wazungu (UK, USA, nk) wanafuatia wahindi na wazawa wachache ambao hata rafudhi yao wanaonekana ni waarabu ambao wamesoma ama kuishi Sana majuu...
Kwanini tusiwape tu mabeberu wakaendeshe hizi sekta muhimu kama Bandari, viwanja vya ndege, mahoteli makubwa, nk
Comment ya hovyo sana hii, Wakati Nchi inapambana kuweka wazawa wengi kwenye miradi yake, Wewe ndo unatuletea huu ushuzi kweli?!!. Kwani Watanzania hawawezi wakanolewa vizuri ili wawe wanatoa huduma kwa standard za Kimataifa?
 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

Majanga,shida ni nini hasa?
 
Royal Tour! My foot!
Jana nilikuwa naangalia Documentary moja kupitia National Geographic Channel wakionyesha jinsi uwanjanja wa ndege wa kimataifa Dubai wanavyofanya kazi we bwana we! Watumishi kuanzia meneja wa uwanja, upakuaji na huduma ndogo ndogo wamejaa wazungu (UK, USA, nk) wanafuatia wahindi na wazawa wachache ambao hata rafudhi yao wanaonekana ni waarabu ambao wamesoma ama kuishi Sana majuu...
Kwanini tusiwape tu mabeberu wakaendeshe hizi sekta muhimu kama Bandari, viwanja vya ndege, mahoteli makubwa, nk
Yes huwa naangalia pia kiufupi wanajua wanachokifanya
 
Kwani hakuna chombo cha kimataifa kinachopima viwango vya airports na kuvitangaza!?
 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

Kwa kifupi siyo uwanja wa ndege watanzania waliopata nafasi ya kufanya kazi na kushika nyadhfa za juu kwenye hizi taasisi za kutoa huduma wanawaza rushwa kutoka kwa wahitaji huduma kuliko kuwasaidia kupata huduma, na mifumo waliyoweka inakatisha tamaa na inaboa
 
Comment ya hovyo sana hii, Wakati Nchi inapambana kuweka wazawa wengi kwenye miradi yake, Wewe ndo unatuletea huu ushuzi kweli?!!. Kwani Watanzania hawawezi wakanolewa vizuri ili wawe wanatoa huduma kwa standard za Kimataifa?
Mtanzania aweze kwenda kwa "standards" Lazima boss awe mbele na vitisho vitumike. Wachache mno wanaojielewa akatekeleza majukumu yake kwa wakati. wengi ukimwachia nafasi naye analala au anapiga umbea wa mpira ama kuondoka kabisa.
Hizi kauli za "walifanya kwa hofu Sasa wafanye kazi kwa moyo" doesn't work for Tanzanian.
Siungi mkono kutumia watu wa nje, Ila uwe tayari kufukuza na kuajiri.
 
Mtanzania aweze kwenda kwa "standards" Lazima boss awe mbele na vitisho vitumike. Wachache mno wanaojielewa akatekeleza majukumu yake kwa wakati. wengi ukimwachia nafasi naye analala au anapiga umbea wa mpira ama kuondoka kabisa.
Hizi kauli za "walifanya kwa hofu Sasa wafanye kazi kwa moyo" doesn't work for Tanzanian.
Siungi mkono kutumia watu wa nje, Ila uwe tayari kufukuza na kuajiri.
Km mbwa,panya, ng'ombe wanafundishika, iweje kwa binadamu?. Kwamba Watanzania hawafundishiki?, tuache kujidharau hivyo jamani na kuwatukuza Wazungu.
 
Back
Top Bottom