ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Samahani mkuu, wewe umeshaoa?? Naona umeongea mengi ya kufikirika ambayo naamini hata wewe huwezi kuyaweka katika uhalisia. Isije ikawa unaongea kibabe kwny social media, ila yakikukuta wewe unajinyonga...!!Sasa ' umebanduliwa ' Mke / Demu halafu tena umepigwa hadi Kufa na unaenda ' Kuzimu ' kuchomwa moto. Kwani huyo Marehemu angeacha tu Mkewe / Demu wake ' abanduliwe ' lakini baadae ' Mbunye ' yake atairudisha Kwake na Yeye angeendelea tu ' Kuibatua ' vile vile kama kawa kingeharibika nini? Marehemu ni Bonge la ' Popoma ' kiukweli. Hakuna Demu / Mke wa Mtu ambaye ' hachepuki / habanduliwi ' na ' Masela ' wa nje ila cha msingi tu ni kwamba Wewe ' uchune ' na kama vipi na Wewe ' wabandulie ' wengine Wapenzi wao na ngoma itakuwa ' droo '.
Tuheshimu basi, watu tunajitambua halafu unasema hakuna mwanamke ambaye haliwi nje...Sasa ' umebanduliwa ' Mke / Demu halafu tena umepigwa hadi Kufa na unaenda ' Kuzimu ' kuchomwa moto. Kwani huyo Marehemu angeacha tu Mkewe / Demu wake ' abanduliwe ' lakini baadae ' Mbunye ' yake atairudisha Kwake na Yeye angeendelea tu ' Kuibatua ' vile vile kama kawa kingeharibika nini? Marehemu ni Bonge la ' Popoma ' kiukweli. Hakuna Demu / Mke wa Mtu ambaye ' hachepuki / habanduliwi ' na ' Masela ' wa nje ila cha msingi tu ni kwamba Wewe ' uchune ' na kama vipi na Wewe ' wabandulie ' wengine Wapenzi wao na ngoma itakuwa ' droo '.