Dansa wa Twanga Pepeta adaiwa kuua mume wa mchepuko wake

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
1,885
4,010
maga.JPG
 

Sasa ' umebanduliwa ' Mke / Demu halafu tena umepigwa hadi Kufa na unaenda ' Kuzimu ' kuchomwa moto. Kwani huyo Marehemu angeacha tu Mkewe / Demu wake ' abanduliwe ' lakini baadae ' Mbunye ' yake atairudisha Kwake na Yeye angeendelea tu ' Kuibatua ' vile vile kama kawa kingeharibika nini? Marehemu ni Bonge la ' Popoma ' kiukweli. Hakuna Demu / Mke wa Mtu ambaye ' hachepuki / habanduliwi ' na ' Masela ' wa nje ila cha msingi tu ni kwamba Wewe ' uchune ' na kama vipi na Wewe ' wabandulie ' wengine Wapenzi wao na ngoma itakuwa ' droo '.
 
Sasa ' umebanduliwa ' Mke / Demu halafu tena umepigwa hadi Kufa na unaenda ' Kuzimu ' kuchomwa moto. Kwani huyo Marehemu angeacha tu Mkewe / Demu wake ' abanduliwe ' lakini baadae ' Mbunye ' yake atairudisha Kwake na Yeye angeendelea tu ' Kuibatua ' vile vile kama kawa kingeharibika nini? Marehemu ni Bonge la ' Popoma ' kiukweli. Hakuna Demu / Mke wa Mtu ambaye ' hachepuki / habanduliwi ' na ' Masela ' wa nje ila cha msingi tu ni kwamba Wewe ' uchune ' na kama vipi na Wewe ' wabandulie ' wengine Wapenzi wao na ngoma itakuwa ' droo '.
Samahani mkuu, wewe umeshaoa?? Naona umeongea mengi ya kufikirika ambayo naamini hata wewe huwezi kuyaweka katika uhalisia. Isije ikawa unaongea kibabe kwny social media, ila yakikukuta wewe unajinyonga...!!

All I know ni kwamba WE DIFFER IN HANDLING ISSUES...!!! Kitu ambacho wewe unachukulia poa, kuna mwenzako kinamtesa hata kma ni kdg kiasi gani.
 
Sasa ' umebanduliwa ' Mke / Demu halafu tena umepigwa hadi Kufa na unaenda ' Kuzimu ' kuchomwa moto. Kwani huyo Marehemu angeacha tu Mkewe / Demu wake ' abanduliwe ' lakini baadae ' Mbunye ' yake atairudisha Kwake na Yeye angeendelea tu ' Kuibatua ' vile vile kama kawa kingeharibika nini? Marehemu ni Bonge la ' Popoma ' kiukweli. Hakuna Demu / Mke wa Mtu ambaye ' hachepuki / habanduliwi ' na ' Masela ' wa nje ila cha msingi tu ni kwamba Wewe ' uchune ' na kama vipi na Wewe ' wabandulie ' wengine Wapenzi wao na ngoma itakuwa ' droo '.
Tuheshimu basi, watu tunajitambua halafu unasema hakuna mwanamke ambaye haliwi nje...
 
Yaani ndio michepuko imepata nguvu hivi hadi kuuwa jiwe la msingi
 
Back
Top Bottom