Mama Tibaijuka mbona hashikwi?
mtaje japo mmoja.Mbona watuhumiwa wa escrow hawaburuzwi mahakamani, kesi yao ina ulakini fulani
Mama Tiba unamshika kwa kupewe hela na rafiki yake ruge? tumia akili. yule amehukumiwa kwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma kwani alitakiwa atoe taarifa tu kuwa amepewa kiasi fulani cha hela toka kwa fulani ndo maana akapumzishwa kwenye baraza la mawaziri. ukimpeleka mahakamani huyo anakushinda kesi na kumlipa fidia.Mama Tibaijuka mbona hashikwi?
Mbona watuhumiwa wa escrow hawaburuzwi mahakamani, kesi yao ina ulakini fulani
Mwakani Lowassa akiwa rais wa JMT anaburuza mahakamani Kikwete na Muhongo kwa ajili ya wizi wa escrow