Tangia hapo ni mlevi!Anaongea kama mlevi
Nadhani huyu ndio anaweza kuwa Katibu Mkuu duni kabisa wa CCM akimpiku MukamaKatibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
Mlevi hawezi tofautisha Kuku na watanzania Kuku toka asubuhi hadi machweo kazi ni kutafuta chakula tu, mwambieni kuwa wa Tz wanamahitaji zaidi ya yale ya Kuku.Anaongea kama mlevi
Hivi CCM huwa haina watu wenye akili wa kuweza kushika nafasi kubwa za uongozi ndani ya chama? Huyu akili yake inaishia kufikiria kula tu. Kisichohusu chakula, kwake hakina maana.Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
Uprofesa siku hizi upo wa aina mbili: prof wa ujinga na prof wa uweledi.Duuh! Profesa Polepole!
Elimu Elimu Elimu X 10000000000000000000Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
CCM wana akili ndogo sana sana sijawahi kuwazaKatibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
Ikiwepo tume huru hata chogolo atapigia upinzani, anaonekana tu, ndio kamfanyia samie ugaidi asije kugombeaKatibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
Hivi hawa watu wanaokotwa wapi?Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.
Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.
Wamejidhihirisha waziwazi kuwa wao ndiyo waroho wa madaraka!Chama cha majambazi kweli kweli...
Chongolo ni mpumbavu!Hivi CCM huwa haina watu wenye akili wa kuweza kushika nafasi kubwa za uongozi ndani ya chama? Huyu akili yake inaishia kufikiria kula tu. Kisichohusu chakula, kwake hakina maana.
CCM wanawaza matumbo yao tu!Ccm wana akili ndogo sana sana sijawahi kuwaza
Iliyopo inawasababishia wa tz,njaa,maradhi na umaskini,ila inawashibisha na kuwaneemesha wale wa mtaa wakijani.Ishiii ivi kumbe tuna viongozi wajinga kupindukia.
Yaan Kwamba Tume huru ya Uchaguzi, haiwaletei wao CHAKULA.
Kwamba hii tume iliyopo, inawajaziaa wao na familia zao vyakula.
Wamezoea vya kunyonga, vya kuchinja hawawezi!Ikiwepo tume huru hata chogolo atapigia upinzani, anaonekana tu, ndio kamfanyia samie ugaidi asije kugombea
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.
Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.