Anonymous
Senior Member
- Feb 3, 2006
- 125
- 321
Zipo tuhuma za ufisadi mkubwa wa kuuza VITALU 48 vya kujenga vibanda vya biashara kwenye eneo la CCM Kata ya Wazo lililopo jirani magereji Tegeta Wilayani Kinondoni.
Wanaotuhumiwa kushirikiana kufanya ufisadi huo ni pamoja na Katibu wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Bwana James Mgego na viongozi wa kata hiyo, waliomaliza muda wao.
Viongozi hao wa Kata ni Mwenyekiti Yusuf Chunda, Katibu Dennis Liheta na Mwenezi Deo Kamugisha.
Aidha Bwana Mgego, ameamua kuwapigania viongozi hao kwa kuwapigia kampeni ili warudi kwenye nafasi kwaajili kuficha ufisadi huo walioufanya.
Katibu huyo wilaya kila baada ya siku mbili lazima afike kwenye kata hiyo, ili kufanya mazungumza na baadhi wa makatibu wa tawi ili kuwashawishi wawafanyie kampeni viongozi hao wa kata wanaotuhumiwa kufanya ufisadi huo.
Inadaiwa kuwa tayari viongozi hao wamemzawadia Katibu wa Wilaya kiwanja cha kujenga nyumba katika eneo la Nakarekwa ili awapiganie warudi kwenye nafasi zao.
WanaCCM Kata ya Wazo, tunamwomba Bwana Mgego arejeshe heshima ndani ya chama na si kujenga ujira binafsi na maslahi ya watu wachache ambayo baadaye itaigharimu chama ndani kwa ndani.
Ni sisi Makada watiifu, wakereketwa na wafurukutwa wa Chama Cha Mapinduzi.
“KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI”
Wanaotuhumiwa kushirikiana kufanya ufisadi huo ni pamoja na Katibu wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Bwana James Mgego na viongozi wa kata hiyo, waliomaliza muda wao.
Viongozi hao wa Kata ni Mwenyekiti Yusuf Chunda, Katibu Dennis Liheta na Mwenezi Deo Kamugisha.
Aidha Bwana Mgego, ameamua kuwapigania viongozi hao kwa kuwapigia kampeni ili warudi kwenye nafasi kwaajili kuficha ufisadi huo walioufanya.
Katibu huyo wilaya kila baada ya siku mbili lazima afike kwenye kata hiyo, ili kufanya mazungumza na baadhi wa makatibu wa tawi ili kuwashawishi wawafanyie kampeni viongozi hao wa kata wanaotuhumiwa kufanya ufisadi huo.
Inadaiwa kuwa tayari viongozi hao wamemzawadia Katibu wa Wilaya kiwanja cha kujenga nyumba katika eneo la Nakarekwa ili awapiganie warudi kwenye nafasi zao.
WanaCCM Kata ya Wazo, tunamwomba Bwana Mgego arejeshe heshima ndani ya chama na si kujenga ujira binafsi na maslahi ya watu wachache ambayo baadaye itaigharimu chama ndani kwa ndani.
Ni sisi Makada watiifu, wakereketwa na wafurukutwa wa Chama Cha Mapinduzi.
“KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI”