Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,461
- 45,750
Aliwahi kufokewa na makonda kwenye kikao akawa mpole
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mtu ukimfokea na akawa anacheka ujue kakuona mpumbavu
Na hiyo ni hekima sana
Yaani mfokeaji kama hakujiona fala ujue hajielewi bado