sintah
Senior Member
- Aug 18, 2013
- 187
- 190
Katika hali ya kushangaza mfanyakazi mmoja amekumbwa na mauti jana jioni baada ya kusagwa na mashine, inasemekana alikuwa pekee yake eneo hilo ambapo ni kinyume na taratibu za usalama, management inatumia nguvu kubwa kuzima hili tukio lisifahamike
Nitoe rai kwa vyombo vnavyohusika ikiwemo police na OSHA kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tukio hili.
Ikumbukwe Dangote ni kiwanda kikubwa lakini swala la safety liko chini sana watu wanafanya kazi kimazoea sana alisikika mfanyakazi wa eneo hilo.
Marehemu atazikwa leo sa saba mchana na mpaka sasa hakuna aliewajibika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitoe rai kwa vyombo vnavyohusika ikiwemo police na OSHA kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tukio hili.
Ikumbukwe Dangote ni kiwanda kikubwa lakini swala la safety liko chini sana watu wanafanya kazi kimazoea sana alisikika mfanyakazi wa eneo hilo.
Marehemu atazikwa leo sa saba mchana na mpaka sasa hakuna aliewajibika.
Sent using Jamii Forums mobile app