TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Kiwanda cha kuzalisha Saruji cha DANGOTE TANZANIA kilichopo Mkoani Mtwara kinaalika maombi ya kazi ya Madereva wa Magari makubwa 594.
Sifa, Viambatisho na na namna ya kuwasilisha maombi ni kama inavyoonekana kwenye tangazo lenye kumbukumbu namba DIL/A00/2016/01 la tarehe 16 Desemba, 2016 hapo chini.
Aidha barua zote zitumwe kwa njia posta kwa anwani kama ilivyooneshwa kwenye tangazo.
Muhimu:
1. Barua zote zitakazopelekwa kiwandani kwa njia ya mkono hazitafanyiwa kazi
2. Mwisho wa kupokea maombi ni Desemba 30, 2016 saa 6 mchana
3. Usikubali kudanganywa na matapeli wanaozunguka maeneo ya kiwanda na kuwapa pesa kwa madai kuwa watakusaidia kupata kazi na kwamba kuna watu wamewatuma kufanya hivyo.
Wenye sifa changamkieni fursa.
Sifa, Viambatisho na na namna ya kuwasilisha maombi ni kama inavyoonekana kwenye tangazo lenye kumbukumbu namba DIL/A00/2016/01 la tarehe 16 Desemba, 2016 hapo chini.
Aidha barua zote zitumwe kwa njia posta kwa anwani kama ilivyooneshwa kwenye tangazo.
Muhimu:
1. Barua zote zitakazopelekwa kiwandani kwa njia ya mkono hazitafanyiwa kazi
2. Mwisho wa kupokea maombi ni Desemba 30, 2016 saa 6 mchana
3. Usikubali kudanganywa na matapeli wanaozunguka maeneo ya kiwanda na kuwapa pesa kwa madai kuwa watakusaidia kupata kazi na kwamba kuna watu wamewatuma kufanya hivyo.
Wenye sifa changamkieni fursa.