dangerous situation

Glucky

Senior Member
Dec 16, 2009
123
40
<TABLE style="WIDTH: 508px" cellSpacing=0 cellPadding=0 border=0><TBODY><TR><TD style="WIDTH: 518px; TEXT-ALIGN: center" vAlign=top>Mhh hii hatari</TD></TR><TR><TD style="WIDTH: 518px; TEXT-ALIGN: center" vAlign=top>
192.jpg
</TD></TR></TBODY></TABLE>
 
Hatari sana. Safari inaendelea au uaribifu umetokea wakiwa hapo hapo?
Kama ilitokea kabla ukaguzi ulishafanyika kujua kama patapitika.
 
Hali hii inachangiwa na wakandarasi wanaojenga chini ya viwango kwa sababu wakubwa waliowapa kazi wanataka mgao wao. Mwisho wa siku daraja linaonyesha limit ya tani 7 hata waliobeba tani 12 wanataka wapite. Si mnajua kinachoendelea kwenye mizani ya barabarani? Wizi mtupu!
 
Back
Top Bottom