Hali hii inachangiwa na wakandarasi wanaojenga chini ya viwango kwa sababu wakubwa waliowapa kazi wanataka mgao wao. Mwisho wa siku daraja linaonyesha limit ya tani 7 hata waliobeba tani 12 wanataka wapite. Si mnajua kinachoendelea kwenye mizani ya barabarani? Wizi mtupu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.