Damu za watz zilizomwagika huko DRC zitakugharimu hadi kufa...

Ruzibiza

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
563
123
wakati wengi wakishabikia safari ya congo wakiwa na ujinga kichwani na wengine wakipongeza hizo juhudi na kusema mguu huo hadi kigali walilenga safari hiyo iliihusu Rwanda....leo hii wacongo wanapinga serikali wakidai wamechoka kutawaliwa na mnyarwanda...sasa damu iliyomwagika kwa lengo la kumuondoa rwanda congo imemwagikia nini? je, wacongo waliulizwa wanataka nini kifanyike?nina wasiwasi,,,,
 
wakati wengi wakishabikia safari ya congo wakiwa na ujinga kichwani na wengine wakipongeza hizo juhudi na kusema mguu huo hadi kigali walilenga safari hiyo iliihusu Rwanda....leo hii wacongo wanapinga serikali wakidai wamechoka kutawaliwa na mnyarwanda...sasa damu iliyomwagika kwa lengo la kumuondoa rwanda congo imemwagikia nini? je, wacongo waliulizwa wanataka nini kifanyike?nina wasiwasi,,,,

Unatokea sehemu gani ya Rwanda?
 
wakati wengi wakishabikia safari ya congo wakiwa na ujinga kichwani na wengine wakipongeza hizo juhudi na kusema mguu huo hadi kigali walilenga safari hiyo iliihusu Rwanda....leo hii wacongo wanapinga serikali wakidai wamechoka kutawaliwa na mnyarwanda...sasa damu iliyomwagika kwa lengo la kumuondoa rwanda congo imemwagikia nini? je, wacongo waliulizwa wanataka nini kifanyike?nina wasiwasi,,,,

Husijitetee, kipigo mpaka kigoli. Kagame tutamfanyia kitu mbaya kama Idd amin tulivyomshughulikia
 
wakati wengi wakishabikia safari ya congo wakiwa na ujinga kichwani na wengine wakipongeza hizo juhudi na kusema mguu huo hadi kigali walilenga safari hiyo iliihusu Rwanda....leo hii wacongo wanapinga serikali wakidai wamechoka kutawaliwa na mnyarwanda...sasa damu iliyomwagika kwa lengo la kumuondoa rwanda congo imemwagikia nini? je, wacongo waliulizwa wanataka nini kifanyike?nina wasiwasi,,,,

Zile ulizoziona EASTERN DRC ni mvua za rashasha, bado za masika utazishuhudia ikulu ya kigali. Sisi ni wabongo bwana, tulibarkiwa kwa kumtoaa madarakani kiongozi aliyekuwa kama hitler barani africa aliyejulikana kama nduli idd amini na baraka hiyo lazima itufuate mpaka tutakapomtoa hitler wa rwanda yaani slim boy.Unajua bwana, ukishabarikiwa kumtoa dikteta mmoja baraka hiyo lazima ikufuate tu, utamtoa na mwingine na mwingine pia kwa sababu Mungu anazidisha ile roho ya kuwahurumia watu wanaonyanyasika. Hivyo, damu za wanajeshi wetu zinamwagika kishujaa ili kusimamimisha zile za raia wa drc, hivyo ni sadaka nzuri inayo mpendeza Mungu na isikuumize kichwa
 
Jina lako tu ni uthibitisho wewe ni Mnyarwanda,uko wapi tukukamate tukupe adhabu za kijasusi?tukung'oe meno na koleo
 
Jina lako tu ni
uthibitisho wewe ni Mnyarwanda,uko wapi tukukamate tukupe adhabu za
kijasusi?tukung'oe meno na koleo
kaka umekosea jakwaa huku ni jamii forums bongo ulitaka kapost rwanda news agent hapa sio ila heri ya mwaka mpya 2014 LOADING.....................
 
Zile ulizoziona EASTERN DRC ni mvua za rashasha, bado za masika utazishuhudia ikulu ya kigali. Sisi ni wabongo bwana, tulibarkiwa kwa kumtoaa madarakani kiongozi aliyekuwa kama hitler barani africa aliyejulikana kama nduli idd amini na baraka hiyo lazima itufuate mpaka tutakapomtoa hitler wa rwanda yaani slim boy.Unajua bwana, ukishabarikiwa kumtoa dikteta mmoja baraka hiyo lazima ikufuate tu, utamtoa na mwingine na mwingine pia kwa sababu Mungu anazidisha ile roho ya kuwahurumia watu wanaonyanyasika. Hivyo, damu za wanajeshi wetu zinamwagika kishujaa ili kusimamimisha zile za raia wa drc, hivyo ni sadaka nzuri inayo mpendeza Mungu na isikuumize kichwa

kweli?aisee nangojea hio siku kwa ham
 
Jina lako tu ni uthibitisho wewe ni Mnyarwanda,uko wapi tukukamate tukupe adhabu za kijasusi?tukung'oe meno na koleo

mmenikosa, kungoana meno ni maisha yenu ya kawaida siyo lazima niwe mnyarwanda,
swali, Dr. U..Mboka ni mnyarwanda?DR. Mvungi (R.I.P) ni mnyarwanda? brother Abby Kibanda ni mnyarwanda wa province gani?au bro Mwangosi (R.I.P) alikuwa mnyarwanda wa sehemu gani?
Happy New year
 
wakati wengi wakishabikia safari ya congo wakiwa na ujinga kichwani na wengine wakipongeza hizo juhudi na kusema mguu huo hadi kigali walilenga safari hiyo iliihusu Rwanda....leo hii wacongo wanapinga serikali wakidai wamechoka kutawaliwa na mnyarwanda...sasa damu iliyomwagika kwa lengo la kumuondoa rwanda congo imemwagikia nini? je, wacongo waliulizwa wanataka nini kifanyike?nina wasiwasi,,,,
Unatafutwa kwa kuhusika na mauaji ya kimbari
Rwanda_genocide_wanted.jpg
 
Hueleweki mkuu!!!
wakati wengi wakishabikia safari ya congo wakiwa na ujinga kichwani na wengine wakipongeza hizo juhudi na kusema mguu huo hadi kigali walilenga safari hiyo iliihusu Rwanda....leo hii wacongo wanapinga serikali wakidai wamechoka kutawaliwa na mnyarwanda...sasa damu iliyomwagika kwa lengo la kumuondoa rwanda congo imemwagikia nini? je, wacongo waliulizwa wanataka nini kifanyike?nina wasiwasi,,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom