Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,401
MatriniaSie kwetu mtoto wa dada yako ndio ndugu yako nikimaanisha mtoto anathaminika ujombani ambako ndiko wanauhakika kwamba mtoto nidam yao
MatriniaSie kwetu mtoto wa dada yako ndio ndugu yako nikimaanisha mtoto anathaminika ujombani ambako ndiko wanauhakika kwamba mtoto nidam yao
Nmeshangaaaa kuona wenzangu wameelewa hii mada. Kiswahili kigumu kweli kweli.
Hatari sanaKweli ukubwa jalala natamani nirudishe siku nyuma, huku mtoto yuko njiani, harusi michango haisomi huku ndugu wananivuruga basi majanga ya Snura.
Leo ndo nimejua kwanini Baba yangu alikuwaga anaongea ayo maneno, wanawake siye sio watu wazuri hata kidogo.
Dada yangu mtoto wa baba mdogo ana mimba kubwa tu (hajaolewa anasubiri yangu ipite). Leo nimeenda kufata mchango nikaingia kwenye kabati lake nipate magauni makubwa kadi hizo 2.
Nikabaki natoa macho maswali kibao , nikaweka rohoni na mimba yake kisirani asininyime mchango.
Namjua shemeji yangu mmoja ndo nilijua muhusika maana ndiye aliyejitambulisha, kumbe wala mpya kabisa ndo muhusika.
Nyie ndo mnasutwaga looooh mambo hayakuusu wayavaria kibwaya!.
Hii mada, wataelewa wenyewe tu, wanaume wote tumetoka kapa hapaKwa kweli sijaelewa.
umeolewa mammy??nabenda mabonge basi tuunipe kadi nikuchangie ila na wewe unichangie