korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 659
Habar zenu wana jf!
Nna rafk angu anasumbuliwa na tatizo lakubld mapande ya damu kama maini awapo kwenye cku zake! Na damu inakuwa nyeusi yenye utelezi mzito, haumwi na tumbo wala kitu chochote ila inamtia waswasi.
Je, hali yakawaida au ana tatizo, ana umri wa miaka 30.
Nna rafk angu anasumbuliwa na tatizo lakubld mapande ya damu kama maini awapo kwenye cku zake! Na damu inakuwa nyeusi yenye utelezi mzito, haumwi na tumbo wala kitu chochote ila inamtia waswasi.
Je, hali yakawaida au ana tatizo, ana umri wa miaka 30.