MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Msemaji wa Jeshi la Israel amesema kwamba Ndege za Jeshi la Israel F-16 zimefanya mashambulizi ya Anga katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
Mashambulizi hayo yanasemekana yalilenga Vituo vya kijeshi vya wapiganaji wanaoungwa mkono na Iran. Israel iliweka wazi kwamba uwepo wa Iran kijeshi nchini Syria Ni Mstari mwekundu kwa Israel.
Haya yanajiri huku Zaidi ya Wapalestina 120 wakijeruhiwa na Wengine 11 kuuawa baada ya Israel Kuvamia kwenye Msikiti wa Al-Aqsa siku ya Alhamisi Asubuhi. Zaidi ya Wapalestina 200 wamewekwa Mahabusu baada ya kile Israel inachokiita Ni Ugaidi unaofanywa na Magaidi wa Hamas dhidi ya Raia wa Israel.
State media say attack occurred before midnight, adding that some Israeli missiles were shot down by Syrian defences.
Source: Aljazeera
Mashambulizi hayo yanasemekana yalilenga Vituo vya kijeshi vya wapiganaji wanaoungwa mkono na Iran. Israel iliweka wazi kwamba uwepo wa Iran kijeshi nchini Syria Ni Mstari mwekundu kwa Israel.
Haya yanajiri huku Zaidi ya Wapalestina 120 wakijeruhiwa na Wengine 11 kuuawa baada ya Israel Kuvamia kwenye Msikiti wa Al-Aqsa siku ya Alhamisi Asubuhi. Zaidi ya Wapalestina 200 wamewekwa Mahabusu baada ya kile Israel inachokiita Ni Ugaidi unaofanywa na Magaidi wa Hamas dhidi ya Raia wa Israel.
State media say attack occurred before midnight, adding that some Israeli missiles were shot down by Syrian defences.
Source: Aljazeera