Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,806
- 11,968
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 25, 2023 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 13.
Uamuzi wa Serikali kuondoa Msamaha wa kodi kwenye Taulo za kike na Vishkwambi
Waziri Hamad Hassan Chande amesema serikali iliamua kuchukua uamuzi wa kufuta msamaha wa kodi ya VAT (mbali na hatua nyingine zilizochokuliwa) kwenye vishkwambi na taulo za kike baada ya baadhi ya wafanyabiashara kwenye kinyume na utaratibu uliyowekwa na kuhakikisha wafanyabiashara hao wanalipa kodi stahiki.
Waziri Chande ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali na Mbunge Issa Mtevu alieuliza serikali imechukua hatua gani baada ya msamaha wa VAT aliotolewa kwenye vishkwambi na taulo za kike kutokuwa na tija.
Muswada wa Sheria mpya ya ndoa unakuja
Waziri wa Katiba na Sheria, Damas Ndumbaro amesema Serikali imekamilisha mchakato wa kukusanya maoni kwenye sheria ya ndoa umekamilika na Aprili 26, 2023 Kutakuwa na kongamano la mwisho la kupitia maoni hayo ambayo baadae yatapelekwa Bungeni kama Muswada.
Uamuzi wa Serikali kuondoa Msamaha wa kodi kwenye Taulo za kike na Vishkwambi
Waziri Hamad Hassan Chande amesema serikali iliamua kuchukua uamuzi wa kufuta msamaha wa kodi ya VAT (mbali na hatua nyingine zilizochokuliwa) kwenye vishkwambi na taulo za kike baada ya baadhi ya wafanyabiashara kwenye kinyume na utaratibu uliyowekwa na kuhakikisha wafanyabiashara hao wanalipa kodi stahiki.
Waziri Chande ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali na Mbunge Issa Mtevu alieuliza serikali imechukua hatua gani baada ya msamaha wa VAT aliotolewa kwenye vishkwambi na taulo za kike kutokuwa na tija.
Muswada wa Sheria mpya ya ndoa unakuja
Waziri wa Katiba na Sheria, Damas Ndumbaro amesema Serikali imekamilisha mchakato wa kukusanya maoni kwenye sheria ya ndoa umekamilika na Aprili 26, 2023 Kutakuwa na kongamano la mwisho la kupitia maoni hayo ambayo baadae yatapelekwa Bungeni kama Muswada.