Dalili za ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 waonyeshwa huko Zambia leo

MAGAMBA MATATU

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
646
1,174
Ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 umeonyeshwa leo huko Zambia kwani hadi hivi sasa matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo huko zambia wa urais unaonysha kuwa chama tawala cha MMD(Movement Multipart Democracy) kilicho chini ya Rupiah Banda kiko nyuma kwa kura kwa wastani wa asilimia 16% dhidi ya 78% ya chama cha upinzani cha PF(Patriotic Front) kilicho chini ya Michael Sata, hii ni dhahili kuwa wananchi wamechoshwa kwa kudanganywa na vyama vilivyoko madarakani,, kwa matokeo zaidi fuatilia MUVI TV YA ZAMBIA,,

Hadi naondoka mitamboni matokeo yalikuwa kama ifuaatavyo kwa mikoa yao,

Michael Sata PF, chama cha upinzani Rupiah Banda MMD chama tawala sasa.
10271 2912

9642 2794

20768 3901

14730 4509

20391 3637

10271 2912

14224 3142

13241 2317

9875 1543

16748 4323

15743 2754

Muda huu niko job mwenye matokeo zaidi kutoka MUVI TV atujuze ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasema one Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.
 
Ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 umeonyeshwa leo huko Zambia kwani hadi hivi sasa matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo huko zambia wa urais unaonysha kuwa chama tawala cha MMD(Movement Multipart Democracy) kilicho chini ya Rupiah Banda kiko nyuma kwa kura kwa wastani wa asilimia 16% dhidi ya 78% ya chama cha upinzani cha PF(Patriotic Front) kilicho chini ya Michael Sata, hii ni dhahili kuwa wananchi wamechoshwa kwa kudanganywa na vyama vilivyoko madarakani,, kwa matokeo zaidi fuatilia MUVI TV YA ZAMBIA,,

Hadi naondoka mitamboni matokeo yalikuwa kama ifuaatavyo kwa mikoa yao,

Michael Sata PF, chama cha upinzani Rupiah Banda MMD chama tawala sasa.
10271 2912

9642 2794

20768 3901

14730 4509

20391 3637

10271 2912

14224 3142

13241 2317

9875 1543

16748 4323

15743 2754

Muda huu niko job mwenye matokeo zaidi kutoka MUVI TV atujuze ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasema one Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.


Haya tuendelee kuishi kwa matumaini. Lakini zambia hakuna aliyekwidwa gauni wala shati. Ustaarabu mtupu
 
Nafikiri hayo uliyotoa nimatokeo sehemu ambayo Chama Cha Upinzani cha Bwana Sata kinakubalika. Tusubiri matokeo yote.
 
Nafikiri hayo uliyotoa nimatokeo sehemu ambayo Chama Cha Upinzani cha Bwana Sata kinakubalika. Tusubiri matokeo yote.
Hiyo ni mikoa zaidi ya kumi na ananing'inia vile atazitoa wapi kira nyingi hivyo anyaway sijui zambia wana mikoa mingapi ila naona kama kaachwa mbali sana. Ndiyo maana alisema washabiki wake wasishangilie mpaka kipenga cha mwisho
 
Nadhani unashindwa kuunganisha hesabu, watanzania wamechoshwa na CCM kinachowakwamisha ni utitiri wa vyama vya upinzani ambavyo siku vimekuwa ni tatizo. Inaonekana wapinzani wa Zambia wamekuwa na sauti moja dhidi ya chama tawala. Huku kwetu bado ni hadithi wapinzani wamelenga kwenye ruzuku zaidi matokeo yake kila chaguzi CCM tunashinda kwasababu ya uroho wa madaraka unaonyeshwa na viongozi wa upinzani, ushahidi unajionyesha Igunga laiti kama wapinzani wangeweka mgombea mmoja nadhani CCM tungekubali matokeo na tusingeshiriki hata uchaguzi wenyewe.

Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Nadhani unashindwa kuunganisha hesabu, watanzania wamechoshwa na CCM kinachowakwamisha ni utitiri wa vyama vya upinzani ambavyo siku vimekuwa ni tatizo. Inaonekana wapinzani wa Zambia wamekuwa na sauti moja dhidi ya chama tawala. Huku kwetu bado ni hadithi wapinzani wamelenga kwenye ruzuku zaidi matokeo yake kila chaguzi CCM tunashinda kwasababu ya uroho wa madaraka unaonyeshwa na viongozi wa upinzani, ushahidi unajionyesha Igunga laiti kama wapinzani wangeweka mgombea mmoja nadhani CCM tungekubali matokeo na tusingeshiriki hata uchaguzi wenyewe.

Chama
Gongo la Mboto DSM.
Waungane mala ngapi?? Ccm na mkewe na watoto wake washaungana huko bungeni dhidi ya chadema, sasa muungano upi unaoutaka wewe!!?
 
Nadhani unashindwa kuunganisha hesabu, watanzania wamechoshwa na CCM kinachowakwamisha ni utitiri wa vyama vya upinzani ambavyo siku vimekuwa ni tatizo. Inaonekana wapinzani wa Zambia wamekuwa na sauti moja dhidi ya chama tawala. Huku kwetu bado ni hadithi wapinzani wamelenga kwenye ruzuku zaidi matokeo yake kila chaguzi CCM tunashinda kwasababu ya uroho wa madaraka unaonyeshwa na viongozi wa upinzani, ushahidi unajionyesha Igunga laiti kama wapinzani wangeweka mgombea mmoja nadhani CCM tungekubali matokeo na tusingeshiriki hata uchaguzi wenyewe.

Chama
Gongo la Mboto DSM.

Mkuu hii wengi wanaileta hii ya kuwa na vyama vingi katika uchaguzi kama sababu lakini ni uongo wa watu wasiofuatilia vizuri. Hii yetu ndio demokrasia ya kweli. Anayeshinda bila zengwe ndiye mshindi wa kweli na ndiye anakuwa chaguo la wengi.

Ni vizuri ieleweke kuwa ccm ni chama kama vyama vingine katika race hii na wananchi ndio wachaguaji. Kama wananchi wanahitaji ccm bado hata kama vingekuwa vyama viwili tu kingeshinda. Kuna ushahidi wa wazi ambao unaonyesha kuwa viliwahi kushiriki vyama vichache na ccm ikashinda na kuna majimbo viliwahi kushiriki vyama zaidi ya vitatu na ccm ikabwagwa chini. Hivyo basi wananchi kama wataelewa haki yao na hawatakubali kuraghaiwa kwa vizawadi na ahadi hewa za maendeleo yasiyokuwepo na pale katiba itakaporekebishwa ili kuiondoa hii tume ya wizi wa kura inayochaguliwa na mwenyekiti wa ccm, hapo ndipo kutakuwa na mwisho wa ccm. Bila hivyo hata kama ukiweka vyama viwili tu, itashinda ccm.
 
Vote counting continues in Zambia from Tuesday's general elections. Partial results show an early lead by main challenger Michael Sata of the Patriotic Front party. He has 42 percent of the vote compared to 35 percent for President Rupiah Banda of the ruling Movement for Multiparty Democracy and 18 percent for a candidate of the UPND party.
According to the Electoral Commission of Zambia (ECZ), the results are based on a tally of 133 of the country's 150 constituencies




Source is VOA NEWS ndani ya mtandao,,, yani 133 ni majimbo yanayoonyesha hadi sasa kuwa Michael Sata anaongoza na jumla ya majimbo ni 150,.
 
Nadhani unashindwa kuunganisha hesabu, watanzania wamechoshwa na CCM kinachowakwamisha ni utitiri wa vyama vya upinzani ambavyo siku vimekuwa ni tatizo. Inaonekana wapinzani wa Zambia wamekuwa na sauti moja dhidi ya chama tawala. Huku kwetu bado ni hadithi wapinzani wamelenga kwenye ruzuku zaidi matokeo yake kila chaguzi CCM tunashinda kwasababu ya uroho wa madaraka unaonyeshwa na viongozi wa upinzani, ushahidi unajionyesha Igunga laiti kama wapinzani wangeweka mgombea mmoja nadhani CCM tungekubali matokeo na tusingeshiriki hata uchaguzi wenyewe.


Hapana siyo kuwa zambia wana mmuuunganiko qwa vyama vya upinzani no hadi leo wanapiga kura kulikuwa na idadi ya vyama kama 8 au 9 na chama kilichofuatia kwa asilima ya kura hadi sasa baada ya kile kilichokuwa madarakani ni UNPD chenye 18% hadi sasa huku MMD kilichoko madarakani kina 35% na PF cha bwana Michael Sata kina 42% ni maamzi tuu ya wananchi...
 
Nadhani unashindwa kuunganisha hesabu, watanzania wamechoshwa na CCM kinachowakwamisha ni utitiri wa vyama vya upinzani ambavyo siku vimekuwa ni tatizo. Inaonekana wapinzani wa Zambia wamekuwa na sauti moja dhidi ya chama tawala. Huku kwetu bado ni hadithi wapinzani wamelenga kwenye ruzuku zaidi matokeo yake kila chaguzi CCM tunashinda kwasababu ya uroho wa madaraka unaonyeshwa na viongozi wa upinzani, ushahidi unajionyesha Igunga laiti kama wapinzani wangeweka mgombea mmoja nadhani CCM tungekubali matokeo na tusingeshiriki hata uchaguzi wenyewe.


Hapana siyo kuwa zambia wana mmuuunganiko qwa vyama vya upinzani no hadi leo wanapiga kura kulikuwa na idadi ya vyama kama 8 au 9 na chama kilichofuatia kwa asilima ya kura hadi sasa baada ya kile kilichokuwa madarakani ni UNPD chenye 18% hadi sasa huku MMD kilichoko madarakani kina 35% na PF cha bwana Michael Sata kina 42% ni maamzi tuu ya wananchi...

Mkuu, naomba utupatie link na sisi tuweze kuangalia kinacho endelea huko.... Nimejaribu kutembelea tovuti ya tume yao ya uchaguzi sijaona chochote kuhusiana na matokeo Welcome :: Electoral Commission of Zambia
 
Iwe ni hayo ya Zambia au ya Misri, mimi sijui, but what I can say ni kwamba, "YOU CAN FOOL SOME PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME" CCM haina life copyright Tanzania, ipo siku,tena siku hiyo i karibu CCM itang'oka. Kumbuka zilikuwepo ngome za Roman Empire, nani alijua zitasambaratika one day? Tazama CCM ya sasa ilivyo na tafakari ilikotoka kisha utapata jibu, but kama ni suala la kujipa matumaini tu wacha CCM iendelee kujitumainisha, hata Masha na Uwaziri wake wa makachero hakuamini pale Mwanza kuwa alibwagwa chali kama mende mchana kweupe.

Time will tell.
 
kila mtanzania anaisubiri hiyo siku kwa hamu kubwa naaminii itakuwa siku kuu kubwa saana kuwahi kutokea hapa nchini
 
Back
Top Bottom